Asipokupenda atakuona kinyaa

Asipokupenda atakuona kinyaa

Ni kweli , kutumia nguvu ya pesa kumshawishi Kwa kweli hamna kitu labda kama unataka upige per once na kukimbia , Ila kama unatumia pesa et akuelewe ukae sahau hyo ni hasara tuu, kingine sio lazima kila binti akuelewe , kama amezingua basi ina mana anamwelewa mwingine mwisho wa sku wewe utaishia kuwa ATM....anayeelekea upande wako huyo ndo move nae
Ni kweli.
Kuna watu wametumia pesa nyingi mpaka wengine wamesomesha wanawake lakini wameishia kuachwa.
Pesa kazi yake ni kurahisisha mahitaji ila hayakufanyi upendwe na mwanamke.
 
Hii ni tabia ya wanawake wengi kama sio wote kuwaona wanaume kama takataka Fulani.Nachoshukuru Mungu ni kuwa wanaume hatuna hii tabia.

Usipopendwa kubali usijishushie heshima kama mwanaume kisa K.

NB;HAIHUSIANI NA KUPENDWA KIMAPENZI
Hawafikagi popote, wanarudi kutukumbuka na kuanza kutuma vi text vya kuponda kumbe anataka tension ili apate pa kuanzia upya
 
Hii ni tabia ya wanawake wengi kama sio wote kuwaona wanaume kama takataka Fulani.Nachoshukuru Mungu ni kuwa wanaume hatuna hii tabia.

Usipopendwa kubali usijishushie heshima kama mwanaume kisa K.

NB;HAIHUSIANI NA KUPENDWA KIMAPENZI
Uongoo aisee nyie ni aibu tu mnaabisha mtu akupendaye na siyekupenda mnajikomba
 
Unatakiwa ujue kuwa "mwanamke hajui anachokitaka kwenye mapenzi"
Pesa ina nafasi hata kama upo single.
Kuna story nilisikiliza efm, hiki kipindi hurushwa saa moja kama na nusu.
Kuna jamaa alikuwa na pesa, kazi yake alikuwa anauza magari. Akaingia mahusiano na mwanamke mmoja hivi ila yule mwanamke alimpenda jamaa hana hata maisha, jamaa akiomba hela, mwanamke anatoa hadi guest analipia, mpaka akamzalia mtoto wa kike, alichokuwa anafanya, anatumia hela ya mwanaume kununua viwanja, ajenge akimaliza amuache jamaa. Ni story ya kusikitisha sana.
Kama unafikiri ukiwa na pesa ndiyo utapendwa ni jambo la kushangaza sana.
Kuna jamaa anapesa lakini mke wake anagongwa na boda boda tena jamaa hana mbele wa nyuma.
Mwanamke akikupenda utaishi maisha mazuri sana na wala siyo pesa
Kuna jamaa jamaa hatari,ila mke wake wa ndoa Wana watoto watatu,anatembea na dereva wa roli...na dereva akiwa mjini ana cruise tu mandinga ya tajiri na matumizi yote juu ya muke ya tajiri.....
 
Hii ni tabia ya wanawake wengi kama sio wote kuwaona wanaume kama takataka Fulani.Nachoshukuru Mungu ni kuwa wanaume hatuna hii tabia.

Usipopendwa kubali usijishushie heshima kama mwanaume kisa K.

NB;HAIHUSIANI NA KUPENDWA KIMAPENZI
Kwa mila za kiAfrika, k k sukari inachuliwa kama amana yenye thamani.

Ndiyo maana inahodhiwa kwa kuitolea mahari.

Kama mila zinatuongoza hivyo, mimi ni nani niende kinyume na kujifanya kichwa ngumu?

Nitatongoza kwa unyenyekevu na nikitakiwa kuhonga nitahonga.
 
Back
Top Bottom