Asilimia 80 ya watanzania Wana matatizo ya macho.

Asilimia 80 ya watanzania Wana matatizo ya macho.

evonik

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2015
Posts
3,996
Reaction score
5,181
Hayo yamesemwa na Bi Brenda mkurugenz wa CCBRT, walipokuwa wakiendesha zoezi la upimaji wa macho na utoaji wa matibabu BURE.

Source: ITV

Utafiti huo unaweza kuwa kweli, kwani watu wengi tumekua na mazoea ya kutokujua afya zetu kwa kudhani kuwa tuko salama, hadi pale tatizo linapokua kubwa na hatima yake tunakua tumeshachelewa.

NAWASILISHA!!!
 
kati ya watanzania wanne,mmoja mtambo(kichaa) na 80% ya watanzania hawaoni!!sifa zote mbovu tunaongoza sisi tuu!! Daah!!! Kuzaliwa nchi ni kama jehanam fulani hivi
mungu tusaidie
 
9ac3e637e037643fe45f937a6612f9b0.jpg
 
kati ya watanzania wanne,mmoja mtambo(kichaa) na 80% ya watanzania hawaoni!!sifa zote mbovu tunaongoza sisi tuu!! Daah!!! Kuzaliwa nchi ni kama jehanam fulani hivi
mungu tusaidie

Inaumiza sana anyway Luna yuule aiosema anataka kuhama nchi! Ameshapata visa? Anistue twende wore mkuulu
 
Hivi watafiti walisema kila penye watu 5 mmoja ni kichaa.. Sasa wakulu was nchi hii mpaka sasa hawajafikia watano?
 
Waliofanya utafiti huu nao ni vichaa kwa maana nahisi hawakuwa chini ya wa5
 
Hawa "watafiti" watupe break kidogo. Hapa mnaambiwa watu nane kati ya 10 hawaoni vizuri. Kule mnaambiwa mmoja kati ya wanne amedata. Kuna siku walisema 52% ya watoto tumebambikiziwa. TWAWEZA nao walitoka na yao kwamba wenye elimu ndogo au vi.laza wanaishabikia sana CCM

Hebu leteni jema basiii japo moja tu.
 
Kwa Ufahamu wangu mdogo, kila mtu anakanukta fulani hivi ya ukichaa. Lkn kichaa kinaweza kuwa cha muda au cha kudumu. Sasa je ni wakati gani mtu anaweza pata ukichaa wa muda na nawezaje kumjua kuwa amepatwa ukichaa. Hatahivyo, lengo la tafiti hii ni Nn? Na ina imply Nn?
 
Hiyo ya vichaa naamini nchi inaongozwa kama gari bovu na uskani umevyunjika sibure nchi inaenda kimilembelembe style
 
Hahahahha kila baya n la watz mara akil, kichaa macho, ukijumuisha na hii tafit ya majanga ya njaa tunaisha woooote
 
Back
Top Bottom