Asilimia 42 CCM imepita kwa mapingamizi

Asilimia 42 CCM imepita kwa mapingamizi

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,269
Reaction score
473
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi
 
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi

Baada yakutolewa taarifa CCM 84%, UKAWA 16% mmechanganyikiwa sana aisee, poleni sana
 
Si chama cha mapingamizi, bali ni chama cha Mashetani kabisa.
 
Hqtq hivyo bado nape hatakiwi kushangilia haya mapungufu anayoyasema haoni kama ni ushahidi kwa walioshindwa kwenda mahakamani.waziri mwenyeywe kakiri mapungufu mengi na kutaka kuwawajibisha leo muse na twthmini ya kizushi?nape awe and wkili hajifunzi kuona watu ambavyo wanaisurubu ccm yeye bado anashangilia ujinga name escrow zake? Propaganda za kijinga hizo
 
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi

Kwani hizo pingamizi haziwezi kufanyiwa kazi mahakamani na watu wakapata haki yao?
 
watu wanasherekea kwa tabasamu mdomoni huku macho yakitoa machozi na ndita kwenye paji la uso
 
Chama cha malori
Chama cha mapingamizi
Chama cha mafisadi
Chama cha wezi/majambazi
 
WanaJF Hebu tujuzane kuhusu Hili je hizi asilimia zina ukweli gani
 
Kila mtu mzima anafikiria kuwa hivi kama sio mapingamizi yale, matokeo yangelikuwaje?
 
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi

NAPE Amesema pamoja na uchakachuaji ndio wamepata asilimia 82 ukawa 18%wamejitahidi
 
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi
Ndugu hichi chama ni zimwi hata wenyewe kwa wenyewe wanakabana na kutafutana ushawi, UKAWA songa mbele.
 
ndugu yangu wa lumumba anasema asilimia 42 ya ushindi wao wameupata kwa mapingamizi. anasema kama yasingekua mapingamizi wasinge fikisha hata alimia 50% .
hivyo watatumia hii mbinu mpaka uchaguzi ujao.
My take Kirefu kipya cha CCM ni chama cha Mapingamizi. Nashuri sheria ibadirishwe mapingamizi yawe yanawekwa mahakaman na uchaguzi usiendelee mpaka kesi itakapo kwisha. nasio kuwaachia mamisukule ya ccm yafanye maamuzi
Pendekezo bora lingekuwa wapige we kura ya ndiyo au hapana na akiwataka chini ya 50% ya wapiga kura hasipitishwe na uchaguzi urudiwe ukihusisha wagombea wa vyama vyote. Bahati mbaya CCM hasaoni hii kama hatari y ustawi wao, chaguzi zinasaidia kujipima na kurekebisha kasoro, lakini pia zinasaidia kujenga mahusiano bora na amani na wananchi.
 
Back
Top Bottom