Kweli ina utata mwingi ila ishu ya samaki umepuyanga mkuu.. Aliiangamiza dunia kwa maji so samaki hawajawahi dhurika na majiBible Ina utata sana Kwa Baadhi ya vipengere... Mfano Samaki waliwezaje kuvumilia ndani ya Safina ya Nuhu Kwa siku arobaini bila maji.
Si vizuri kuleta utani wa namna hii tena wa kuhusisha binadamu wenzako na timu ya Yanga.Kwa hiyo wazungu ni majini wa Yanga futibol clube.
Sasa wanyama wote si waliingia kwenye Safina ya Nuhu na samaki wakiwemo au wengine walibaki nje..Kweli ina utata mwingi ila ishu ya samaki umepuyanga mkuu.. Aliiangamiza dunia kwa maji so samaki hawajawahi dhurika na maji
Ndio maajabu ya MunguBible Ina utata sana Kwa Baadhi ya vipengere... Mfano Samaki waliwezaje kuvumilia ndani ya Safina ya Nuhu Kwa siku arobaini bila maji.
AminaNdio maajabu ya Mungu
Tumuulize Mayele.Si vizuri kuleta utani wa namna hii tena wa kuhusisha binadamu wenzako na timu ya Yanga.
By the way, ulitaka kusemaje? Yanga ndiyo majini yenyewe? Au majini ndiyo Yanga yenyewe?
Kwa hiyo wazungu ni majini wa Yanga futibol clube.
Tatizo wanagomea ukweli unaotolewa na misukule yao.Majini Futuboli Kilabu.Jini Moja Si Uliona Lilivyowasaidia Juzi.
Watu wenye asili tofauti na waafrika wenye nywele ngumu ni matokeo ya mwingiliano ya malaika na wana wa wanadamu.
View attachment 2903269View attachment 2903270View attachment 2903273