Asili ya neno "mama"

Wakuu nauliza hivi asili ya neno mama ni wapi?

Kwa sababu waswahili wanaita mama, wahindi wanaita mama, wanaijeria wanaita mama,wazungu wanaita mama ,yani kwa kifupi lugha nyingi sana zinatumia hili neno

Sasa asili yake ni wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…