ASILI YA NENO DALADALA
Inasemekana kwamba asili ya neno daladala ni
zama
za Mwl Julius Nyerere wakati
shilingi tano likuwa sawa na dolar moja ya
kimarekani hivyo shUillingi tano ikawa inaitwa dala
na wapiga debe enzi hizo
walisema dala -dala-dala kumaanisha
kuwa nauli ni dala moja(gwala/shilingi
tano,Na ndipo lilipoibuka neno daladala.
TUPE ASILI NYINGINE YA MANENO
UNAYOYAFAHAMU