Wakati msemo huu unaanza kutumika, watu walikuwa wanasema " Tunakula Bata ". Sasa hivi wameongeza na msemo mwingine, wanasema " Tunakula bata mpaka kuku wanaona wivu. Hawa hawajui asili na neno tunakula bata. Tunakula " Bata'. Maana yake ni tunakula "butter" yaani " Siagi " na sio bata ndege.