Mtanzanika
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,389
- 1,131
Kulikua na mazishi, mwanamke mmoja alifariki.
wakati wabeba jeneza wakilitoa nje jeneza kutokea ndani, kwa bahati mbaya waliligonga jeneza na ukuta,
wakasikia sauti kutoka ndani ya jeneza. Walipolifungua walikuta yule mwanamke yuhai.
Mwanamke yule aliishi kwa miaka 10 zaidi, kisha alikufa.
Siku ya mazishi wakati wabeba jeneza walipokua wakilitoa nje tena jeneza.
Mume wa marehemu alimaka kwa sauti "Jamani taratibuni msije mkaligonga tena ukutani."
wakati wabeba jeneza wakilitoa nje jeneza kutokea ndani, kwa bahati mbaya waliligonga jeneza na ukuta,
wakasikia sauti kutoka ndani ya jeneza. Walipolifungua walikuta yule mwanamke yuhai.
Mwanamke yule aliishi kwa miaka 10 zaidi, kisha alikufa.
Siku ya mazishi wakati wabeba jeneza walipokua wakilitoa nje tena jeneza.
Mume wa marehemu alimaka kwa sauti "Jamani taratibuni msije mkaligonga tena ukutani."