Ashinda kwa kishindo mashindano ya kula chakula

Ashinda kwa kishindo mashindano ya kula chakula

Nakumbuka kusafiri na jamaa mmoja bonge alisoma Arusha Meru Marehemu sasa basi tulipofika Highway jamaa kaagiza plate mbili kazifuta pale pale wakati abiria wanapewa taarifa warejee kwenye bus kwaajili ya kuendelea na safari jamaa akavuta plate nyingine take away na maji kubwa mbili za Kilimanjaro.
 
Hao ni CCM? Naona kijanikijani na njano kwa mbali...
 
Mwangalie na chuchu zake kama demu vile
 
attachment.php
 
Amenikumbusha jamaa mmoja aliyeagiza chakula hotelini kila akimaliza anaagiza mpaka wenye hoteli wakaogopa wakamwambia baba samahani chakula kimeisha,nakumbe kipo
 
Naona timuli timuli tu apo mwenyewe anakuambia anachafua meza mmmh ilo dau la hela alilokua anashindania kweli sio kitoto.
mana mpaka watazamaji wa pembeni apo naona wana muonea uruma ivi.
izi hela izi zinatugeuza sana vituko some times.
 
Mbona vimebaki aisee???

Mi nakumbuka kuna jamaa alikula kilo mbili za wali maharage mpaka ukoko akakwangua,matango sita,ndizi mbivu tatu kubwa,tikiti moja.akapewa zawadi ya bia mbili nazo akazinywa hapo hapo.kisha akamuagiza mdogo wake kuwa wasisahau kumuwekea msosi home.

Kuna viumbe wa ajabu sana duniani.

Hahahahaha umenivunja mbavu
 
Huyu jamaa mganda alizawadiwa Tshs 4,577/=
 
Back
Top Bottom