Kwanza mi ndg yenu nishakacha siku nyingi kujadili kitu na hawa wachumia tumbo,Kama wakubwa zao wote wana umaarufu wa kukimbia midaharo! Tutegemee nini kutoka kwa hawa?.Ukiwa ccm unaweza kuonekana ni kijana kwa umri lkn muonekano wako wa nje KIMAVAZI,SURA,MWENDO NA hatimaye hata UWEZO WAO WA KUFIKIRI umezeeka bora hata ya KINGUNGE.Hakuna ubishi vijana walio MAGAMBANI wote wapo kwa maslahi ya tumbo TU.Na ndio maana nivigumu kubaini pindi unaposikia sauti ikitoka kwao ili kujua kama inatoka mdomoni au sehemu zingine zisizo rasmi !