Pia ndiye aliyeweka ripoti ya Mzee Paul Sozigwa kapuni kama alivyosema EL hayo yote yanayofanyika sasa yasingekuwepo kama ile ripoti ingetumika.
Pia ndie alimbeba EL kwa kumpa unaibu Waziri wa Ardhi wakati anajulikana ni mpenda rushwa (na hakuchukua muda mrefu EL akataka kufanya maujanja na kiwanja kile cha shule ya chekechea kilicho karibu na CMC motors opp na Maktabu Kuu bahati Mzee Sabodo ambaye nafikiri alikuwa mwenyekiti wa hiyo shule alipinga kwa nguvu zote.
Bila hivyo hapo sasa pangekuwa ofisi za CMC), akadai eti ni wazeee wamshinikize na hata kusema chaguo ni Kikwete ni huyo huyo baada ya kutishwa.
Sasa mtu kama huyo ANAYETISHWA NYAU na akina EL na wazee hana ujasiri wa kusema ukweli si ajabu kuna wazee wammtisha na kumwambia kasema hayo aliyoyasema, kwanza hana hadhi ya kuwazungumzia Watanzania ni MCHAFU
Kweli la kuvunda halina ubani. HIvi mtu na akili yake anaweza kuanzisha kampuni halafu akaiita kwa majina yake na mkewe tena akiwa madarakani? Afu anwani yake anaandika IKULU. Tena kampuni hiyo hiyo ilisajiliwa silu ya tarehe 1/5 ambayo kwa kawaida ni sikukuu. Sasa mtu kama huyo anaweza kusema nini wakati huu. Mi ningekuwa yeye ningekaa kimya ana nisingependa kuonekana popote au kusema chchote.
Mkapa acha kudanganya ulimwengu. Unajua fika mwaka jana 2010 ni chama gani ilishinda. Kwanza ushukuru jinsi mnavyoendeleza wizi wa kura kwa sababu bila ivyo wengi mngekuwa ndani. Huwezi sema kuwa ccm hawawezi kushindwa katika chaguzi, Ni uongo ambao mmezoea ili kuwapumbaza walimwengu na wananchi ijulikane kuwa ccm inakubalika sana.
Wekeni tume huru uone ngoma yake. Mfano wenyewe umeona Igunga bila wizi ungeadhirika kwa kukipigia debe, ilibidi wizi lifanyike ili ccm ishinde, kukulindia heshima yako.
Ila kwa mawazo haya ustahili heshima hata kidogo ngoja tuone kama hutahama nchi hapo badae, kwa ajili ya matumizi mabaya ya madaraka. Ccm wazee wamezidi ili kulindana bora kuwachia vijana pia wakaongoza.
Huyu mzee kwanza akae kimya maana hatujasahau alivofanya biashara akiwa ikulu kinyume na katiba!! halafu bila aibu ansema watu hawawezi kueleza kwa nini tume sio huru?? Alimuuliza nani akashindwa simply tume inayoteuliwa na rais wa jamhuri ambaye pia ni mwenyeketi wa CCM na mgombea urais kwenye uchaguzi utakaosimamiwa na tume aliyoteua, tume hiyo itakuwaje huru??
Katiba inasema matokeo ya urais yakishatangazwa na tume hakuna mahali au taasisi yoyote inayoweza kuyahoji hata mahakama, tume ipo juu ya mahakama?? huko nako ni kuvunja katiba maana katiba hiyohiyo inasema mahakama ndicho chombo pekee cha kusimamia na kutoa haki!!
Mzee anatetea katiba mbovu na CCM maana anajua siku ikiondoka madarakani lazima afikishwe mahakamani kujibu tuhuma za ANBEM, EPA, RADA, KIWIRA n.k kweli sasa amekuwa mvivu wa kufikiri!!
huyu mzee kwanza akae kimya maana hatujasahau alivofanya biashara akiwa ikulu kinyume na katiba!! Halafu bila aibu ansema watu hawawezi kueleza kwa nini tume sio huru?? Alimuuliza nani akashindwa simply tume inayoteuliwa na rais wa jamhuri ambaye pia ni mwenyeketi wa ccm na mgombea urais kwenye uchaguzi utakaosimamiwa na tume aliyoteua, tume hiyo itakuwaje huru??
Katiba inasema matokeo ya urais yakishatangazwa na tume hakuna mahali au taasisi yoyote inayoweza kuyahoji hata mahakama, tume ipo juu ya mahakama?? Huko nako ni kuvunja katiba maana katiba hiyohiyo inasema mahakama ndicho chombo pekee cha kusimamia na kutoa haki!!
Mzee anatetea katiba mbovu na ccm maana anajua siku ikiondoka madarakani lazima afikishwe mahakamani kujibu tuhuma za anbem, epa, rada, kiwira n.k kweli sasa amekuwa mvivu wa kufikiri!!