Pia ndiye aliyeweka ripoti ya Mzee Paul Sozigwa kapuni kama alivyosema EL hayo yote yanayofanyika sasa yasingekuwepo kama ile ripoti ingetumika.
Pia ndie alimbeba EL kwa kumpa unaibu Waziri wa Ardhi wakati anajulikana ni mpenda rushwa (na hakuchukua muda mrefu EL akataka kufanya maujanja na kiwanja kile cha shule ya chekechea kilicho karibu na CMC motors opp na Maktabu Kuu bahati Mzee Sabodo ambaye nafikiri alikuwa mwenyekiti wa hiyo shule alipinga kwa nguvu zote.
Bila hivyo hapo sasa pangekuwa ofisi za CMC), akadai eti ni wazeee wamshinikize na hata kusema chaguo ni Kikwete ni huyo huyo baada ya kutishwa.
Sasa mtu kama huyo ANAYETISHWA NYAU na akina EL na wazee hana ujasiri wa kusema ukweli si ajabu kuna wazee wammtisha na kumwambia kasema hayo aliyoyasema, kwanza hana hadhi ya kuwazungumzia Watanzania ni MCHAFU
Anafikiri watanzania wameshamsahau?
US embassy cables: BAE's 'dirty deal' to sell radar to Tanzania revealed
Tuesday, 24 July 2007, 14:06
C O N F I D E N T I A L DAR ES SALAAM 001037
SIPDIS
SIPDIS
AF/E FOR B YODER AND D MALAC
MCC FOR G BREVNOV AND M KAVANAGH
EO 12958 DECL: 07/23/2012
TAGS PREL, PGOV, ECON, EAID, KMCA, PINR, TZ
SUBJECT: BIG FISH STILL RISKY CATCH IN TANZANIA
REF: A. A. DAR ES SALAAM 1009 B. B. DAR ES SALAAM 00085
Classified By: D. Purnell Delly, Deputy Chief of Mission, for reasons 1 .4(b and d).
1. (C) SUMMARY. Tanzania's Prevention of Corruption Bureau (PCB) has never successfully prosecuted a high-level
corruption case involving either the private or public sector. On July 14, the Director General of the PCB, Edward Hoseah, assured the DCM that the PCB was now prepared to prosecute a milestone corruption case: the U.K.-Tanzanian BAE radar deal. Beyond plans to prosecute the BAE case, Hoseah painted a mixed picture regarding the Government of Tanzania's (GOT's) progress toward addressing the country's endemic corruption problem. On one hand,
Hoseah highlighted recent legal reforms and the increasing willingness of both Parliament and press to level corruption charges against the government. On the other hand, he noted the unabated corruption in Zanzibar, weak capacity of his bureau, and President Kikwete's reluctance to implicate former President Benjamin Mkapa or members of Mkapa's inner circle in corruption scandals. Finally, Hoseah reiterated deep concern about his personal safety, explaining that he frequently received threatening letters. In the event of increasing threats to his life, Hoseah said he would not hesitate to seek refuge in another country. END SUMMARY.
PCB: Ready to Prosecute the BAE Radar Deal