Eagle Trader
JF-Expert Member
- Jun 26, 2025
- 636
- 707
Mabonde nimekaa sana hapo enzi hizo nasoma msasani na tukuyu day nilifukuzwa kama mpangaji baada ya kula mtoto mwenye nyumba ambaye alikuwa mwanafunzi mwenzangu
Mabonde nimekaa sana hapo enzi hizo nasoma msasani na tukuyu day nilifukuzwa kama mpangaji baada ya kula mtoto mwenye nyumba ambaye alikuwa mwanafunzi mwenzangu
Wakati huo asili ya kwenu ni wapi?Lindi ni kijiji mzee nimeishi miaka 5
Lindi mazingira ya pale panapoitwa mjini na hovyo, kama makumbusho tu maana magofu teleLindi ni kijiji mzee nimeishi miaka 5
Mimi nimezaliwa huko na nimebahatika kutembea mikoa mingiLindi ni kijiji mzee nimeishi miaka 5
Lindi ni kama bagamoyo tu, hakuna maajabu.Lindi mazingira ya pale panapoitwa mjini na hovyo, kama makumbusho tu maana magofu tele
ila mikoa mingi ipo hovyo bora ya Lindi
Kumbe umeishi miaka mitano pale lindi, so Baada ya miaka miwili ya advance hiyo miaka mingine mitatu ulikua unakaa bweni gani?Lindi ni kijiji mzee nimeishi miaka 5
Hao ndio wagumu wanadumu mkuuHahahahahaaaa,dunian kuna vituko
Mtu anamaliza shule na anabaki hapo hapo
Ni watu wa hajabu sana, sielewi wanaona ufahari gani kujifananisha na Waarab.Mamwinyi utamaduni wao ni wa ajabu sana
Dogo, hivi kabla ya uvumbuzi wa mafuta katika hizo nchi unajuwa walikuwa wanaishije....kwa taarifa yako hao watu walikuwa wanaishi kama ndugu zetu wa hii mikoa niliyoitaja hapo juu, walikuwa walalahoi tu na mabingwa wa kunywa gahawa na tende.Uislamu umeuharibu vipi?
Kwahiyo sehemu kama Qatar,UAE,Dubai na nchi nyingine ambazo zina waislamu wengi utasemaje? Acha kugenelize ujinga ujinga kwamaana uislamu ndiyo inafanya watu wasiendelee au wasifanye kazi? Upumbavu
Yaani Ujiji ni pa hovyo mno, hawachekani na Pemba.Ujiji
Ujiji ni zaidi ya Lindi pa kijinga sana
Kitambo sana, maeneo hayo nimekunywa sna kimpumu na komoni... Tokyo home sweet home


Tamaa zilikuponzaMabonde nimekaa sana hapo enzi hizo nasoma msasani na tukuyu day nilifukuzwa kama mpangaji baada ya kula mtoto mwenye nyumba ambaye alikuwa mwanafunzi mwenzangu


Hauna akili chenga kabisa weweDogo, hivi kabla ya uvumbuzi wa mafuta katika hizo nchi unajuwa walikuwa wanaishije....kwa taarifa yako hao watu walikuwa wanaishi kama ndugu zetu wa hii mikoa niliyoitaja hapo juu, walikuwa walalahoi tu na mabingwa wa kunywa gahawa na tende.