ChaiNakumbukaga Ile story ya Mpwayungu Village SAFARI YANGU YA LINDI ilikuwa bonge la story 2022 Hadi ikamfanya Mpwayungu awe JF person of the year 2022.
Yani Ile story ukiianza tu kusoma hutaki kuwacha inakuwa suspense kutaka kujuwa kitakachofuata. Mwamba alitisha Sana humu 2022.
Nilipenda Ile sehemu alipolala chin ya Lori lindi stend alipovamiwa na vibaka nakutembeza mkono wa hatarii.
Mwamba alikuwa anajirusha kima cha joti akitua tu anatembeza ngumi na teke balaa na kubwaka na kuibukia upande wapili.
Yani Ile story maamee ilibamba ilikuwa bonge la blockbuster jamvini. Ilinifanya nipapende lindi.
Linki hii hapa chini.
![]()
Sitosahau safari yangu ya Lindi iliyojaa maumivu na tabu nzito
Tarehe 4 mwezi wa pili 2020 nikiwa katika msongo wa mzito wa mawazo yaliyotokana na ugumu wa maisha nilijikuta nafanya maamuzi magumu bila kutarajia. Nilikuwa nakaa gheto maeneo ya buguruni sheli japo gheto lilikuwa na mshikaji wangu ambae tulisoma nae primary mawenzi shule ya msingi iliyopo...www.jamiiforums.com
adriz
Oyaa Dogo Acha hizo😆😆😆Chai
Mamwinyi utamaduni wao ni wa ajabu sanaLindi ni sawa na Bagamoyo, Tabora, Ujiji, Zanzibar, Pemba, Tanga. Uislam na umwinyi umekuharibu mno, mtu anaona ufahari kushinda kavaa shuka tu akizunguka mitaani kusengenyana, hana kabisa wazo la kutafuta ama kufanya kazi.
Yaani mwenyewe mwanzo nilishangaa sana, ila ndio hivyo watu na life zao.Hahahahahaaaa,dunian kuna vituko
Mtu anamaliza shule na anabaki hapo hapo
Ndoo ya lita 10 linatoshaje godoro!!?
Kwahiyo sehemu kama Qatar,UAE,Dubai na nchi nyingine ambazo zina waislamu wengi utasemaje? Acha kugenelize ujinga ujinga kwamaana uislamu ndiyo inafanya watu wasiendelee au wasifanye kazi? UpumbavuLindi ni sawa na Bagamoyo, Tabora, Ujiji, Zanzibar, Pemba, Tanga. Uislam na umwinyi umekuharibu mno, mtu anaona ufahari kushinda kavaa shuka tu akizunguka mitaani kusengenyana, hana kabisa wazo la kutafuta ama kufanya kazi.
JF ukikosa bando tu utajikuta umefupisha miaka 10 ya kuishi 😁mtu anaona ufahari kushinda kavaa shuka tu