comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
Ase Mimi nimeona nijiunge huku sasa wenyeji nikaribisheni ..
Mimi mgeni kabisa na kamba mguunii naitwa kipepeee
Mimi mgeni kabisa na kamba mguunii naitwa kipepeee
Karibu kipepee maanake nini?
comrade maana ake?Kipepe maana yake comrade
Na comra
comrade maana ake?
hahahahah Comrade kipepe ,gazeti la sani,wewe utakua mhenga mwenzangu...heheheh..karibu sana JF
Umember wako ni wa nini kihualisia?Member wa organization au member wa kitu fulani
Kama wewe
Umember wako ni wa nini kihualisia?
Nakutahadharisha sana usije ukaleta habari za kijani na njano hapa ni great thinker wanaojimbaua sanaChama cha mafisi Tanzania
Nakutahadharisha sana usije ukaleta habari za kijani na njano hapa ni great thinker wanaojimbaua sana
Kipepe wale wenzako kina Sokomoko,Kobelo,Kitintale,Bob mikwara,Lodi lofa,Mzee meko,Pimbi,Madenge,Bob mazishi,Kiokote,Mapung'o,Chepe,na mzee Sukununu,wako wapi siku hizi? hivi ile team yenu ya Ma bush star bado ipo? mlikua mkisumbuana sana na mahasimu wenu Ma born town,
Karibu sana Jf Kipepe mzee wa nyika.
Wewe ni Comrade kipepe au Comrade kipepee!