comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 2,732
- 2,477
mseee wangu, mimi ndimi.
eeebana juzi kati hapa nilikua na shemeji yenu mmoja hivi, nikaona nimpeleke kwenye nyumba ya mwanangu mmoja hivi maana kwangu kulikua na wageni, na mimi sio mpenzi wa kwenda gest hovyo.
bila hiyana, ikabidi tusogee mtaa wa pili kwenye nyumba ya mshkaji ambae alikua ametoka kidogo, so akaniambia nipige tuu shoo bila tatizo aseee.
aseeeeee! wakati tupo ndani kwa mshkaji pale naendelea kupiga show kwa ubunifu na ufundi wa hali ya juuu,
mara dogo ananiambia oooh! "Jamani baby fanya taratibu hizi chaga hua zinaangukaga!"
duuuh!!! hii ni sawa kweli au mimi na kichwa changu kibovu ndio nimeelewa vibaya.
aseeee!
eeebana juzi kati hapa nilikua na shemeji yenu mmoja hivi, nikaona nimpeleke kwenye nyumba ya mwanangu mmoja hivi maana kwangu kulikua na wageni, na mimi sio mpenzi wa kwenda gest hovyo.
bila hiyana, ikabidi tusogee mtaa wa pili kwenye nyumba ya mshkaji ambae alikua ametoka kidogo, so akaniambia nipige tuu shoo bila tatizo aseee.
aseeeeee! wakati tupo ndani kwa mshkaji pale naendelea kupiga show kwa ubunifu na ufundi wa hali ya juuu,
mara dogo ananiambia oooh! "Jamani baby fanya taratibu hizi chaga hua zinaangukaga!"
duuuh!!! hii ni sawa kweli au mimi na kichwa changu kibovu ndio nimeelewa vibaya.
aseeee!