Asee imebidi nije mbimbio kwanza MMU kupata ushauri

YonDu Udonta

JF-Expert Member
Aug 6, 2016
723
569
Wakuu Nawasalimu...

Ama Baada Ya Salamu Niende Kwenye Swali...

Hivii Linapokuja Suala La Kuniuliza Ma'MIAKA Na Msichana Ambaye Umepata Namba Yake Humu JF Mfano Au MtandaO Mwingine Wa Kijamii...,

Nini Cha Kwanza Unatakiwa Kufanya???

Na Baada Ya Hapo Unafikiri Nini Kitatokea???
 
Kwani miaka yako huijui hadi ushindwe kujibu swali jepesi hivyo?
 
Wakuu Nawasalimu...

Ama Baada Ya Salamu Niende Kwenye Swali...

Hivii Linapokuja Suala La Kuulizana Ma'MIAKA Na Msichana Ambaye Umepata Namba Yake Humu JF Mfano Au MtandaO Mwingine Wa Kijamii...,

Nini Cha Kwanza Unatakiwa Kufanya???

Na Baada Ya Hapo Unafikiri Nini Kitatokea???
mkuu umri utakusaidia nn sasa?? we muombe picha kwanza baada ya hapo utajua kama anakufaa au hakufai.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom