Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Ni muujiza viongozi wa Afrika kukubali kushindwa ktk uchaguzi. Lakini toka Trump achaguliwe hata kabla ya kuapishwa tumeanza kuona viongozi wa kiafrika wakianza kuheshima demokrasia ya maamuzi ya watu. Bado tu kuruhusu mikutano ya kusiasa hapa Tz, hebu mlio karibu na Trump mpenyezeeni hii issue tafadhali.