alma gemela
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 842
- 280
If true asanteni wajomba zangu
Alisema mwanzo wanajeshi waliweka daraja la muda aina la Bailey,hivi sasa kuna daraja la kudumu.Kama ni kweli wanakyela kumkataa Dk.Mwakyembe hapo mtakuwaHivi bado kuna mtu anamwamini huyu jamaa kweli ? Nani asiyejua kwamba daraja la mto mbaka limejengwa na jeshi la wananchi ?
mmechelewa.Sijui nitumie lugha gani inayoweza kutosha kuitumia kutoa shukrani kwenu, hakika Mungu atawalipa, kwa ufupi itoshe tu kusema asante, shukrani pia ziwaendee viongozi wote wa CHADEMA Kyela, wana UKAWA wote wa Kyela kwa kazi kubwa ya kueneza mabadiliko na kuhakikisha CCM na makandokando yake vinakataliwa Kyela, mmetuahidi ubunge, Urais na kama haitoshi mmetuongeza na udiwani, hakika Mungu atawalipa.
Alisema mwanzo wanajeshi waliweka daraja la muda aina la Bailey,hivi sasa kuna daraja la kudumu.Wanakyela kumwangusha Dk.Mwakyembe naona hapo mtakuwa mmefanya blunder ya mwaka yaani juhudi zake zoteHivi bado kuna mtu anamwamini huyu jamaa kweli ? Nani asiyejua kwamba daraja la mto mbaka limejengwa na jeshi la wananchi ?
MATOKEO KYELA - CCM (Kata 24); CHADEMA - (Kata 9). Ccm imaraaaaa
Kwani wewe ndie tume,Mwakie atawapa mshangao wa mwaka,tukaja bakonyofu
Umechanganyikiwa wewe
Poleni UkiwaSijui nitumie lugha gani inayoweza kutosha kuitumia kutoa shukrani kwenu, hakika Mungu atawalipa, kwa ufupi itoshe tu kusema asante, shukrani pia ziwaendee viongozi wote wa CHADEMA Kyela, wana UKAWA wote wa Kyela kwa kazi kubwa ya kueneza mabadiliko na kuhakikisha CCM na makandokando yake vinakataliwa Kyela, mmetuahidi ubunge, Urais na kama haitoshi mmetuongeza na udiwani, hakika Mungu atawalipa.
Sijui nitumie lugha gani inayoweza kutosha kuitumia kutoa shukrani kwenu, hakika Mungu atawalipa, kwa ufupi itoshe tu kusema asante, shukrani pia ziwaendee viongozi wote wa CHADEMA Kyela, wana UKAWA wote wa Kyela kwa kazi kubwa ya kueneza mabadiliko na kuhakikisha CCM na makandokando yake vinakataliwa Kyela, mmetuahidi ubunge, Urais na kama haitoshi mmetuongeza na udiwani, hakika Mungu atawalipa.
Wasira huko bunda..chalii!
Ndg ya Mwakyembe arudi kufundisha. Lowassa amewaahidi wahadhiri mishahara bora
Mabomu ya machozi yanarindima mda huu.
Mwakyembe anateuliwa na raisi kuwa mbunge na naombea mungu sana raisi magufuli ampe cheo cha waziri mambo ya ndani