Perry
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 10,043
- 2,000
Shikamoon wote!!ebana,juzi kati nilileta thread hapa nkielezea matatzo yangu na my gal,kwamba hapokei cmu wala kujbu txts zangu,nikapewa ushauri na wadau wa nin cha kufanya ktk kipindi kile kigumu,bt namshukuru mungu shemeji/wifi yenu leo kanitafuta,tumeongea mengi na amenisamehe,so maisha yanaendelea ka kawaida..mbarikiwe sana.