Naisujaki Lekangai
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 1,340
- 1,378
Habari zenu wana mmu.
Juzi hapa nilieleza mikasa ya mahusiano niliyokumbana nayo.
Wana mmu walichangia mawazo na ushauri kwa wingi sana. Wengine walikuja mpaka inbox kuteta nami. Nawashukuru mno.
Baadhi ya mawazo naanza kuyafanyia kazi kisaikolojia kwa sababu bottomline ya mawazo yote ni kwamba njia ya maisha haikwepeki na mahusiano lazima yawepo tu.What a beautiful advice! Hakika naamini iko siku nami nitayafurahia mahusiano.
Nisiwachoshe, ila asanteni sana.
Miss Nai
IPO SIKU
Juzi hapa nilieleza mikasa ya mahusiano niliyokumbana nayo.
Wana mmu walichangia mawazo na ushauri kwa wingi sana. Wengine walikuja mpaka inbox kuteta nami. Nawashukuru mno.
Baadhi ya mawazo naanza kuyafanyia kazi kisaikolojia kwa sababu bottomline ya mawazo yote ni kwamba njia ya maisha haikwepeki na mahusiano lazima yawepo tu.What a beautiful advice! Hakika naamini iko siku nami nitayafurahia mahusiano.
Nisiwachoshe, ila asanteni sana.
Miss Nai
IPO SIKU