Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

Asanteni Morogoro kwa mapokezi mazuri

Kam341

Member
Joined
Aug 25, 2025
Posts
11
Reaction score
2
Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.

Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.

Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia

IMG-20250830-WA1180.jpg
 
W
Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.

Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.

Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia

View attachment 3459529
Wameshasombana tayariii
 
Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.

Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.

Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia

View attachment 3459529
Nasikia Kilosa haimdai Mother.
 
Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.

Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.

Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia

View attachment 3459529
Ugandan gay man in the US furiously reacts after being denied entry at an Ugandan community event, leaving him deeply disappointed.
 
Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.

Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.

Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia

View attachment 3459529
Ujinga mtupu!
 
Back
Top Bottom