Mapema leo na wananchi Dakawa na Dumila mkoani Morogoro, Mgombea wa CCM Dkt Samia akiwa njiani kuelekea Kilosa.
Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.
Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia
Zaidi ya shilingi trilioni 3 zimetumika Morogoro katika kipindi cha miaka minne kwenye ujenzi wa miradi ya maendeleo ikiwemo hospitali mpya za wilaya 7, vituo vya afya vipya 33, zahanati mpya 82 na shule mpya za msingi na sekondari zaidi ya 150.
Kazi hizi zimeleta ahueni kubwa kwenye maisha ya wananchi na hali njema inaonekana kila tunapopita katika kampeni. Tunaamini bila shaka yoyote kuwa wananchi wa Morogoro watakipa tena Chama Cha Mapinduzi (CCM) ridhaa ya kuendelea kuongoza nchi yetu, ili kuwahudumia kwa ufanisi zaidi
#Haijapatakutokea
#Kurayakwanzakwasamia