chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Mahari peleka.....but nidokezee mahali huo mgahawa ulipo pls
Usituzingue ujue! Kwani una non disclosure agreement? In the spirit of knowledge sharing tutajie jina la mgahawa
Sasa hio hotel Bab-Kubwa ipo pande zipi mkuu?
Mkuu mada yako tutaijadili baadae, tuambie kwanza huo mgahawa upo wapi mkuu?
Sasa turudi kwenye mada hivi huo mgahawa upo wapi vile.?
Tueleze hiyo hotel ipo wapi na inaitwaje kabla hatukupatia ushauri
Mkuu umenichekesha ulivyo uliza huo mgahawa/ hotel. Naona ya kusimuliwa hutaki tena unataka ukaone mwenyewePeleka tu hiyo mahari, usijiulize sana kuwa atabadilika au La kwakuwa ndio tabia za baadhi ya wanawake.
Sasa turudi kwenye mada hivi huo mgahawa upo wapi vile.?