kimange
JF-Expert Member
- Sep 14, 2016
- 1,339
- 1,299
Mambo vp watu wangu wa nguvu...great thinkers ..i salute you guys.
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri ..lakin kwa ruhusa yake nikamuomba nilete huu uzî hapa ili tujifunze kîtu..tiririka
Niende moja kwa moja kwenye mada husika kama ifuatavyo
`Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji hapa mjini nina mchumba ambaye tupo kwenye mahusiano kwa miezi saba sasa lakini kitu cha kushangaza mwenzangu alibadilika sana kama miezi minne iliyopita sasa akawa sim hapokei na sms hajib na wasap kaniblock kwa kweli nilijitaid sana kuwatumia marafik zake ili kurudisha mahusiano yetu kwa sababu nampenda sana. huyu mchumba wangu ni muajiliwa katika kampuni moja hapa mjini na mm pia nina kazi nzur na pesa ipo off course.
Baada ya kuangaika sana kurudisha penzi langu lililokua limeyumba namshukuru mungu nilifanikiwa kwa hilo bibie alirud kwangu na furaha ya mapenzi imerejea upya lakin mpenz wangu huyu hanijali kama ilivyokua mwanzo kwan sim anapokea kwa kutaka,naweza mtumia sms asubui akajib jioni,kwangu halali tena anakuja na kuondoka tu,cm yake inakua bze sana lakin kwa vile nampenda sipend kumpoteza
Kitu cha kushangazi mwezi uliopita nilimuita na kumwambia nimpeleke dinner sehem fulan hapa mjini dsm alikubali japo kwa kumuomba na kumbembeleza sana. Nilimpeleka kwenye ile hotel bab kubwa hapa mjini.
Kiukweli mm hua naenda kula pale nyakat za mchana hivyo sijui Kama usiku hua kuna wanawake wanajiuza maeneo hayo so nilifika na malkia huyu ninaempenda kwa dhat tukaagiza na kuanza kula na kunywa lakin movement za madada zilikua haziishi yaani ni wazuri ile mbaya waarab,wahind na waafrika mmmhhh kiukweli malikia wangu haingii kwa uzur kwa hawa madada,wanashape balaa,wowowo ndio usiseme hasa hao waafrika then wanasmile muda wote kwa kweli dsm hataree sana
Malkia alivyowaona alitaka kujua ni watu gani kwa vile na mm sikuwa na uhakika niliamua kumuita waiter mmoja anaenihudumia chakula wakat wa mchana mara kwa mara na hvyo nimezoeana nae sana jina lake linaanza na herufi M..na kumuuliza hawa ni watu gani?ndipo alipoamua kunielezea kwa undani zaid kua wanajiuza aisee huyu malkia wangu alistajaab sana na kunitaka tuondoke eneo hilo haraka na kuniambia nisirud tena hapo na akanizuia kupata chakula hapo siku nyingine
Kitu cha kushangaza huyu mwanamke wangu amezidisha mapenzi sana kwangu kuliko hata mwanzo na simu ananipigia mara nane hadi kumi kwa siku mpaka ofisini imekua kero simu zake mara kwa mara,lakin pia kila akitoka ofisini kwake lazima anipitie na atanisubir ata kama sijamaliza kaz mpaka usiku tuondoke wote,na anakuja kwangu mara kwa mara ata bila taarifa na kashachukua ufunguo mmoja wa nyumban kwangu,
Akifika kama sipo atafanya usafi wa nyumba,atanifulia nguo zote na kuzipiga pasi na atapika chakula na kuniambia nirud nyumban ananisubir yaani sasa mpaka nashangaa haya mapenz yameanza lini na amejiweka karib sana hata na ndugu zangu wa karib ambao alikua anawadharau hapo mwanzo
Sasa najiuliza nipeleke mahar kwao kama anavyosisitiza mara kwa mara siku hizi ili nimuoe au niendelee kumchunguza.?kiukweli nampenda lakini hii kasi yake ya gafla baada ya kuwaona hao madada
poa inanipa wasiwasi..
Mchango wa mawazo nipeleke mahari au niendelee kumtazama zaidi ?..leteni ushaur wadau tuone jinsi ya kumshaur rafiki yet..
Kuna jamaa yangu kaniomba ushauri ..lakin kwa ruhusa yake nikamuomba nilete huu uzî hapa ili tujifunze kîtu..tiririka
Niende moja kwa moja kwenye mada husika kama ifuatavyo
`Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji hapa mjini nina mchumba ambaye tupo kwenye mahusiano kwa miezi saba sasa lakini kitu cha kushangaza mwenzangu alibadilika sana kama miezi minne iliyopita sasa akawa sim hapokei na sms hajib na wasap kaniblock kwa kweli nilijitaid sana kuwatumia marafik zake ili kurudisha mahusiano yetu kwa sababu nampenda sana. huyu mchumba wangu ni muajiliwa katika kampuni moja hapa mjini na mm pia nina kazi nzur na pesa ipo off course.
Baada ya kuangaika sana kurudisha penzi langu lililokua limeyumba namshukuru mungu nilifanikiwa kwa hilo bibie alirud kwangu na furaha ya mapenzi imerejea upya lakin mpenz wangu huyu hanijali kama ilivyokua mwanzo kwan sim anapokea kwa kutaka,naweza mtumia sms asubui akajib jioni,kwangu halali tena anakuja na kuondoka tu,cm yake inakua bze sana lakin kwa vile nampenda sipend kumpoteza
Kitu cha kushangazi mwezi uliopita nilimuita na kumwambia nimpeleke dinner sehem fulan hapa mjini dsm alikubali japo kwa kumuomba na kumbembeleza sana. Nilimpeleka kwenye ile hotel bab kubwa hapa mjini.
Kiukweli mm hua naenda kula pale nyakat za mchana hivyo sijui Kama usiku hua kuna wanawake wanajiuza maeneo hayo so nilifika na malkia huyu ninaempenda kwa dhat tukaagiza na kuanza kula na kunywa lakin movement za madada zilikua haziishi yaani ni wazuri ile mbaya waarab,wahind na waafrika mmmhhh kiukweli malikia wangu haingii kwa uzur kwa hawa madada,wanashape balaa,wowowo ndio usiseme hasa hao waafrika then wanasmile muda wote kwa kweli dsm hataree sana
Malkia alivyowaona alitaka kujua ni watu gani kwa vile na mm sikuwa na uhakika niliamua kumuita waiter mmoja anaenihudumia chakula wakat wa mchana mara kwa mara na hvyo nimezoeana nae sana jina lake linaanza na herufi M..na kumuuliza hawa ni watu gani?ndipo alipoamua kunielezea kwa undani zaid kua wanajiuza aisee huyu malkia wangu alistajaab sana na kunitaka tuondoke eneo hilo haraka na kuniambia nisirud tena hapo na akanizuia kupata chakula hapo siku nyingine
Kitu cha kushangaza huyu mwanamke wangu amezidisha mapenzi sana kwangu kuliko hata mwanzo na simu ananipigia mara nane hadi kumi kwa siku mpaka ofisini imekua kero simu zake mara kwa mara,lakin pia kila akitoka ofisini kwake lazima anipitie na atanisubir ata kama sijamaliza kaz mpaka usiku tuondoke wote,na anakuja kwangu mara kwa mara ata bila taarifa na kashachukua ufunguo mmoja wa nyumban kwangu,
Akifika kama sipo atafanya usafi wa nyumba,atanifulia nguo zote na kuzipiga pasi na atapika chakula na kuniambia nirud nyumban ananisubir yaani sasa mpaka nashangaa haya mapenz yameanza lini na amejiweka karib sana hata na ndugu zangu wa karib ambao alikua anawadharau hapo mwanzo
Sasa najiuliza nipeleke mahar kwao kama anavyosisitiza mara kwa mara siku hizi ili nimuoe au niendelee kumchunguza.?kiukweli nampenda lakini hii kasi yake ya gafla baada ya kuwaona hao madada
poa inanipa wasiwasi..
Mchango wa mawazo nipeleke mahari au niendelee kumtazama zaidi ?..leteni ushaur wadau tuone jinsi ya kumshaur rafiki yet..

