mmaranguoriginal.
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 4,060
- 459
Nawasalimu sana.
Nataka kutoa pongezi zangu za dhati kwa serikali yangu ya CCM kwa tukio La Jana la uzinduzi Wa katiba mpya itayokwenda kupigiwa kura ya maoni pindi daftari la wapiga kura likiboreshwa na kulitakia zoezi zima mafanikio mema.
Mara baada ya kusema hayo nimefurahi sana kwa tendo la rasimu ya katiba mpya hii kukata kipengele cha mahakama ya kadhi kutokuingizwa kabisa mosi ni changamoto za kuindesha mahakama hiyo kwa kutumia Pesa na kodi zetu wananchi na huku ikitoa huduma kwa waislamu peke yao ambapo naona ni kitu ambacho hakiingii akilini.
Mathalani utafiti uliofanywa na baadhi Ya watu imebainika kwamba wanaopinga mahakama hii idadi kubwa ni waislamu wenyewe haswa bakwata na kuonyesha kwamba kuwa kuna shida kubwa kwenye hii mahakama hata kwa upande wao waislamu mfano matatizo ya nchi kama somalia,Nigeria,Kenya, sudani n.k kwa uchache ni baadhi Ya nchi ambazo zimeonja joto ya jiwe kuhusu mahakama ya kadhi ambapo kuiruhusu hapa tanzania ni kuleta machafuko haswa.
Mahakama hii kutumia kodi yangu na wasio waslamu ni uonevu mkubwa sana na nitalipinga mpaka mwisho Wa dunia.napenda kutoa nasaha kwa serikali yangu Ya CCM kukaza Uzi huo huo kutokuingiza hii mahakama kadhi kabisa.
Nawasilisha.
Nataka kutoa pongezi zangu za dhati kwa serikali yangu ya CCM kwa tukio La Jana la uzinduzi Wa katiba mpya itayokwenda kupigiwa kura ya maoni pindi daftari la wapiga kura likiboreshwa na kulitakia zoezi zima mafanikio mema.
Mara baada ya kusema hayo nimefurahi sana kwa tendo la rasimu ya katiba mpya hii kukata kipengele cha mahakama ya kadhi kutokuingizwa kabisa mosi ni changamoto za kuindesha mahakama hiyo kwa kutumia Pesa na kodi zetu wananchi na huku ikitoa huduma kwa waislamu peke yao ambapo naona ni kitu ambacho hakiingii akilini.
Mathalani utafiti uliofanywa na baadhi Ya watu imebainika kwamba wanaopinga mahakama hii idadi kubwa ni waislamu wenyewe haswa bakwata na kuonyesha kwamba kuwa kuna shida kubwa kwenye hii mahakama hata kwa upande wao waislamu mfano matatizo ya nchi kama somalia,Nigeria,Kenya, sudani n.k kwa uchache ni baadhi Ya nchi ambazo zimeonja joto ya jiwe kuhusu mahakama ya kadhi ambapo kuiruhusu hapa tanzania ni kuleta machafuko haswa.
Mahakama hii kutumia kodi yangu na wasio waslamu ni uonevu mkubwa sana na nitalipinga mpaka mwisho Wa dunia.napenda kutoa nasaha kwa serikali yangu Ya CCM kukaza Uzi huo huo kutokuingiza hii mahakama kadhi kabisa.
Nawasilisha.