😀😀😀Wakwenu ni shujaa wa chato
Huwa nashangaa Sana siasa za chukiKweli kabisa "Dikiteeta" aliishakufa kipindi kirefu. Mimi namaanisha "DIKTETA MBOWE" wa Chadema! Ahahahahahahahahah!!!
Kweli "Dikiteeta"!Corona inatisha sana
Kazi kubwa hii!Mwenyekiti wa cdm na gwiji wa siasa za kistaarabu barani Afrika mh Mbowe ametangaza kustaafu.
Mh Mbowe ameweka wazi kusudio lake pale ifikapo mwaka 2023 atastaafu nafasi ya uwenyekiti wa chama na kumkabidhi kijiti mwana cdm mwenye uwezo.
Kama taifa tumepokea maamuzi yake kama binadamu tuna amini ametimiza wajibu wake wa kuilea na kuhakikisha cdm imekua na kuanza kuwa tishio. View attachment 1809525
Huyu jamaa akishatoka kwenye kiti chake, sijui kunguni wataishije!Mwenyekiti wa cdm na gwiji wa siasa za kistaarabu barani Afrika mh Mbowe ametangaza kustaafu.
Mh Mbowe ameweka wazi kusudio lake pale ifikapo mwaka 2023 atastaafu nafasi ya uwenyekiti wa chama na kumkabidhi kijiti mwana cdm mwenye uwezo.
Kama taifa tumepokea maamuzi yake kama binadamu tuna amini ametimiza wajibu wake wa kuilea na kuhakikisha cdm imekua na kuanza kuwa tishio. View attachment 1809525
... kwa nchi hii, baba wa chuki, uongo, uzandiki, ufedhuli, husda, kijicho, majivuno, dharau, na mengine yafananayo na hayo anafahamika.Huwa nashangaa Sana siasa za chuki
Mbona zamani tuli enjoy sana kwenye siasa
Weekend ukichoka unaenda kusikiliza operesheni Sangala jinsi Padri Slaa anashusha nyundo zinazokuuma na kutamani kuwakamata Mafisadi wote
Ukichoka tena unaenda kusikiliza Marehamu Capt John komba
Komba anaimba hata ukiwa huna chama unapenda madongo ya nyimbo zake
Siasa ni Furaha Bwana
CCM hata kama walikosa hoja lakini nyimbo za Komba inakuamsha wakipita mtaani Bwana
Sent using Jamii Forums mobile app
Anazuga tu anatengeneza maigizo ili aonekane hakuna mwenye uwezo ili yeye andelee matapeli ya kisiasa tuna uzoefu nao sasa kwanini asingemuachia mwambe au sumaye!Matokeo yake kafa yeye lkn cdm bado inadunda
Na huo ndio mwisho wa Chadema!
Dikteta aliyeng'oa kipengele cha ukomo!Cdm ni nguvu ya mungu
Imeteteresha uchumi wa dunia!Corona kiboko sana
Mtoa mada ni mpumbavu, huna akili.Mwenyekiti wa cdm na gwiji wa siasa za kistaarabu barani Afrika mh Mbowe ametangaza kustaafu.
Mh Mbowe ameweka wazi kusudio lake pale ifikapo mwaka 2023 atastaafu nafasi ya uwenyekiti wa chama na kumkabidhi kijiti mwana cdm mwenye uwezo.
Kama taifa tumepokea maamuzi yake kama binadamu tuna amini ametimiza wajibu wake wa kuilea na kuhakikisha cdm imekua na kuanza kuwa tishio. View attachment 1809525
Mbona unajifedhehesha kuonyesha mwili na shingo vinachoka kubeba debe tu lilojaa maji akili hata moja hakuna!Wakwenu ni shujaa wa chato
Hata wewe umeshutkia maigizo ya madkteta wote ndivyo walivyo!Mwanasiasa akikuambia sasa hivi ni saa sita mchana toka angalia, Siamini kabisa kuhusu hii kauli.
Mda sio mrefu mtaanza kusikia hakuna kama wewe hivyo endelea tu Baba...Mbowe sio wa kustaafu siasa leo.
Magufuli amekufa ameiacha chadema inadundaMwenyekiti wa cdm na gwiji wa siasa za kistaarabu barani Afrika mh Mbowe ametangaza kustaafu.
Mh Mbowe ameweka wazi kusudio lake pale ifikapo mwaka 2023 atastaafu nafasi ya uwenyekiti wa chama na kumkabidhi kijiti mwana cdm mwenye uwezo.
Kama taifa tumepokea maamuzi yake kama binadamu tuna amini ametimiza wajibu wake wa kuilea na kuhakikisha cdm imekua na kuanza kuwa tishio. View attachment 1809525
Punguza hasira mungu wenu kazungushiwa hoarding ya mabati pale chatoMbona unajifedhehesha kuonyesha mwili na shingo vinachoka kubeba debe tu lilojaa maji akili hata moja hakuna!
Mwenyekiti wa cdm na gwiji wa siasa za kistaarabu barani Afrika mh Mbowe ametangaza kustaafu.
Mh Mbowe ameweka wazi kusudio lake pale ifikapo mwaka 2023 atastaafu nafasi ya uwenyekiti wa chama na kumkabidhi kijiti mwana cdm mwenye uwezo.
Kama taifa tumepokea maamuzi yake kama binadamu tuna amini ametimiza wajibu wake wa kuilea na kuhakikisha cdm imekua na kuanza kuwa tishio. View attachment 1809525
Magufuli amekufa ameiacha chadema inadunda