Kevoo_keroo
JF-Expert Member
- Aug 18, 2015
- 771
- 163
Hapa kazi tu
Hapa kazi tuu! Rais Magufuli
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Mwaka huu wataisoma namba, Tinga tinga litawaburuza kwa kura za kishindo, Hapa Kazi Tu!Hapa kazi tu
Mwaka huu wataisoma namba, Tinga tinga litawaburuza kwa kura za kishindo, Hapa Kazi Tu!Hapa kazi tu
Magufuli anauwezo mzuri kuliko lowasa lowasa anapote kumbukumbu uwezo wa kujenga hoja hana ilani hawana hawafai hapa MAGUFULI TU
Asiyepoteza kumbukumbu anawakimbia BBC?nimemdharau sana JPM imebidi nibadilishe upepo dk hizi za mwisho na kesho nitamchagua Lowasa
Na huyu ndiye rais waawamu ya tano na mbadala wake hapanahapa nchi kwa miaka mitano hii
Magufuki ni jembeeeeeee
Magufuki ni jembeeeeeee