Uhuru Cape
Member
- Nov 1, 2016
- 48
- 124
Mh. Rais kauli yako ya jana imefurahisha vijana wengi askari wa Magereza kwa kufikilia kutuletea mkuu kutoka JW. Kwa muda mrefu askari vijana wanaombea sana hiyo kitu itokee.
Tangu nimetoka JKT kuja huku nilitamani sana mkuu atoke huko kutokana na viongozi wa huku wengi kukosa kujiamini na kujisimamia na manyanyaso kwa askari na kuwaharibia wengi maisha.
Ombi: Unapotuletea mkuu kutoka huko naomba asije peke yake umuongezee nguvu hata ya watu wa huko huko JW wasiopungua 15 mana kuna viongozi wako pale makao toka enzi na enzi hawajawahi kuhama, hawajui mfungwa yukoje wala gereza likoje wao ni ujanja ujanja tu.
Mimi binafsi nampongeza sana CGP KASIKE anafanya kazi mno na anajitaidi sana tatizo wasidizi na washauri hakuna hapo juu. Wao wamejikita sana katika sheria kandamizi kwa askari na si uzalishaji. Huyu mkuu angepata wasaidizi wenye dhamira kama yake tungesonga mbele.
Asante sana Rais endelea hivyo hivyo haiwezekani ujenzi una miaka miwili umefikia 45% tu. Mungu akubariki sana Rais vijana tumewamiss wazee wa vibeto.
Tangu nimetoka JKT kuja huku nilitamani sana mkuu atoke huko kutokana na viongozi wa huku wengi kukosa kujiamini na kujisimamia na manyanyaso kwa askari na kuwaharibia wengi maisha.
Ombi: Unapotuletea mkuu kutoka huko naomba asije peke yake umuongezee nguvu hata ya watu wa huko huko JW wasiopungua 15 mana kuna viongozi wako pale makao toka enzi na enzi hawajawahi kuhama, hawajui mfungwa yukoje wala gereza likoje wao ni ujanja ujanja tu.
Mimi binafsi nampongeza sana CGP KASIKE anafanya kazi mno na anajitaidi sana tatizo wasidizi na washauri hakuna hapo juu. Wao wamejikita sana katika sheria kandamizi kwa askari na si uzalishaji. Huyu mkuu angepata wasaidizi wenye dhamira kama yake tungesonga mbele.
Asante sana Rais endelea hivyo hivyo haiwezekani ujenzi una miaka miwili umefikia 45% tu. Mungu akubariki sana Rais vijana tumewamiss wazee wa vibeto.