mtzmweusi
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 8,697
- 9,051
Wakuu hii inshu ya kuwa jobless isikie tu kwa wengine
Nimehangaika sana yani nilionekana sina thamani ktk jamii nimesoma nina akili nipo very brighy lakini sina kazi yani hakukuwa na tofauti kati ya mm na dogo aliyepata zero 4m 4 maana wote tuko kitaa ila baada ya kuhangaika muda mrefu.
finally sir God kajibu with fire nw nimepata kazi nzuri tu mshahara safi si haba unanitosha kwakwei namshukuru sana sana Mungu pamoja na wazazi wangu kuniombea na kunisapoti wakati wote wa kipindi hicho kigumu.
Watu madhubuti hudumu shida na tabu ni vya muda tu
Nimehangaika sana yani nilionekana sina thamani ktk jamii nimesoma nina akili nipo very brighy lakini sina kazi yani hakukuwa na tofauti kati ya mm na dogo aliyepata zero 4m 4 maana wote tuko kitaa ila baada ya kuhangaika muda mrefu.
finally sir God kajibu with fire nw nimepata kazi nzuri tu mshahara safi si haba unanitosha kwakwei namshukuru sana sana Mungu pamoja na wazazi wangu kuniombea na kunisapoti wakati wote wa kipindi hicho kigumu.
Watu madhubuti hudumu shida na tabu ni vya muda tu