Dah! Amepqngilia jiji hilo kwa fedha za nani?
Za walipa kodi wa tanzania.
twambie wewe sisi hatujui.Dah! Amepqngilia jiji hilo kwa fedha za nani?
Kwani SUGU anakusanya kodi?
Acha unaa kwani hela siku zote za serekali ni za nani?Pia kuwapo kwa hela kama hamna usimamizi mzuri hayo yote yangetokea?Nenda Tabora ambapo kuanzia balozi mpk mkuu wa mkoa ni CCM kama sio majanga.Dah! Amepqngilia jiji hilo kwa fedha za nani?
Dah! Amepqngilia jiji hilo kwa fedha za nani?