Wewe kweli hamnazo, hizo ni sera za ccm mwaka 2010 na atakayeenda kuzindua stand ya nanenane ni rais jakaya kikwete, ahahahahhaahhaahha makada wa chadema wanafanya kazi ya makada ya ccM!!!!
Ccm haikwepeki, yaani unazikubali sera na kauli mbiu ya ccm, kweli jk ni rais bora barani africa!!!!? Mkewe anatundikwa mimba nje ya ndoa na wewe unasherekea eti wewe ni kidume? Aibu sana hii!! Sugu hawezi iongoza mbeya kwa sababu si mtu ambaye anamuamko na elimu maana mbeya ni mji wa watu wasomi, kwani sugu kaishia form four tena kwa kupata division zero