Hahaha wewe mkorofi ujueHuko siyo pendwa kama kwa Mou, halafu kwa Madrid hakuna wabishi, jamaa ni wapole wapole.
Hahaha wewe mkorofi ujueHuko siyo pendwa kama kwa Mou, halafu kwa Madrid hakuna wabishi, jamaa ni wapole wapole.
May all of your wishes and dreams come trueNataman siku moja nami nilete Uzi kama huu
Kuna kitu unataka kuthibitisha? Maana si lazima aweke picha kulinda usiri wakeKwa uzi huu naomba unitag kwa picha tuzione sio maneno tuu.. maana hii post ninyamaze tu nikingojea picha za harusi.. pichaaaaaaa
kwani we densa?mi nataka nije kutoa show tu kwenye harusi
HongeraWakuu, kama mnakumbuka, nilishapandisha uzi hapa jukwaani kueleza kuwa natafuta mke namba mbili. Nilitoa vigezo ktk uzi huu Ninatafuta mke wa pili. - JamiiForums.
Niliwapa fursa wana jf walio interested na ndio niliowapa kiapaumbele.
Statistics ya maombi ilikua hivi:
Walioomba jumla ni 32.
Waliokidhi vigezo ni 3
Ambao hawajakidhi vigezo ni 29.
Hao watatu, aliyekua top ni kutoka Zanzibar, aliyefuata ni kutoka singida, na wa huyo mwingine ni kutoka dsm.
Ktk mchujo wa hao watatu, nimeamua kumchukua yule wa zanzibar kwasababu zifuatazo.
1. Mtoto ni Shombe shombe
2. Mtoto ni laini laini
3. Mtoto ni anawakawaka.
4. Mtoto ni ana natural long hair (loh, nipewe nini mimi Mjina)
5. Mtoto ni ana sauti nzuri.
Ndoa tutaifunga next month, mbezi kwa msuguli ndipo sherehe itakuwepo baada ya ndoa kufanyika huko znz. Nitawajuza Tarehe.
Posa ninapeleka Tarehe 25 zanzibar
Ahsanteni sana jf...
Yeah subiri hado 2020 mkuuduh ngoja nisubirie namba 3
Uhitaji upo mkuu.. Sana tuAisee kwa hiyo namba ya walio tuma maombi , kweli Kuna uhitaji wa ndoa asee
AsanteHongera sana.
Nitatoa updates za siku ya shsrehe utakaribiami nataka nije kutoa show tu kwenye harusi
Kabisaa wafanye hivyo hakuna namnaHahahahaa. Kweli nimeona shida yetu mpaka tunakubali Mathna sio jambo LA kupuuza hili. Itabidi niwaombe waongeze idadi ya maombi tupunguze hii dhahama
100%we Haupo Kweli?
Mtoto ni shombe shombe, mtoto ni laini laini hata kuvunja biskuti hawezi. Sawa, siku mkishindwana uje tena kupandisha uzi kuishukuru Jf ikutafutie mwingine.


shindwa pepoNi confidential mkuu... Labda utangaze na wakiwa interested wakuchek wenyeweMkuu, nipe namba za hao wawil walio Salia
Never mkuu, nitawapa equal treatmentchonde chonde usimsahau mke wa kwanza
Woga wako umasikini wkoHivi kumbe haya mambo yana wezekana kabisa humu jf ?
Mimi bado naendelea kufanya utsfiti.......
Hiyo ni mipango yangu ya muda mrefuNatumai utaitisha tena mke wa tatu hadi ufikie malengo. Hapa kazi tuu.
Hahah... Kweli kabisaUlitumia vigezo vya sura na sauti,,wengi kweli 29 wengi wana hamu ya kuolewa sana ila kwenye nyuzi wanajifanya hawapendi kuolewa![]()