Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,412
- 1,928
Hakika itakuwa ni kukosa fadhila kuacha kukishukuru kituo cha television ITV kwa kutupa habari za nini kinachoendelea katika viwanja vyote M4C-OPD inapoendelea na kazi ngumu ya kutoa elimu ya uraiya kwa raiya waliochukuliwa msukule na serikali ya ccm zaidi ya miaka30.
Hakika kwa kupitia kipindi cha Habari za saa nimekua nikifuatilia kwakaribu zaidi kila baada ya saa mija linaloendelea ndani ya nchi yangu ya Tanzania/Tanganyika. Na nimefarijika sana kuona ukombozi mkubwa unaoenda kwa kasi kubwa unaofanywa na timu tatu shupavu kupitia M4C-PAMOJA DAIMA.
Mwisho nimalizie kusema Asante ITV asante Chadema M4C PAMOJA DAIMA, habari ya mujini na vijijini.
ITV THE SUPER BRAND.
Hakika kwa kupitia kipindi cha Habari za saa nimekua nikifuatilia kwakaribu zaidi kila baada ya saa mija linaloendelea ndani ya nchi yangu ya Tanzania/Tanganyika. Na nimefarijika sana kuona ukombozi mkubwa unaoenda kwa kasi kubwa unaofanywa na timu tatu shupavu kupitia M4C-PAMOJA DAIMA.
Mwisho nimalizie kusema Asante ITV asante Chadema M4C PAMOJA DAIMA, habari ya mujini na vijijini.
ITV THE SUPER BRAND.