MWITONGO MAARIFA
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 276
- 1,428
Le unge kuwa Ccm unge futwa uanachama. Ila wewe ume tii maandiko.Nimefika Muhimbili hospitali leo kumsalimia rafiki yangu na Mbunge mwenzangu Mh Charles Kitwanga.Nina mshukuru Mungu kuwa anaendelea vizuri sana.Nina imani kubwa kwamba hivi karibuni atakuwa nyumbani na familia yake.
Mh.Godbless Lema
Sent using Jamii Forums mobile app
Msilipize kisasi,kisasi ni yangu kulipa asema BwanaMungu. Mungu akubariki G LemaLe unge kuwa Ccm unge futwa uanachama. Ila wewe ume tii maandiko.
Nilikuwa mgonjwa ukaja kuniona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli, makamu wa raisi mama samia alienda kumuona lissu kule nairobi!Le unge kuwa Ccm unge futwa uanachama. Ila wewe ume tii maandiko.
Nilikuwa mgonjwa ukaja kuniona....
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sababu ya Mama samia kufika Nairobi mpaka kwenda kumwona Lissu? Unajua nini kilikua kinafanyika Nairobi alivyoenda mama Samia. Pamoja na kwamba mama ana Roho nzuri asingeweza kufunga aafari kwenda Nairobi kumwona Lissu kama sio kuapishwa Kwa Kenyatta. Naona Chama kinamtumia mama Samia kama Dodoki lao.Sio kweli, makamu wa raisi mama samia alienda kumuona lissu kule nairobi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata Ndugai alikwenda pamoja na wabunge wa CcmSio kweli, makamu wa raisi mama samia alienda kumuona lissu kule nairobi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa sio uadui
Wanaoona wagonjwa hospitalini wote Wana hofu ya mungu? Naona umeleta kipimo jipya cha mwenye hofu ya munguChadema wote wana hofu ya Mungu sio wale wauaji wanaotaka kuombewa kila siku
Ikumbukwe pia Lema alimshambulia sana waziri huyu kuhusu suala la LugumiHakika nimefarijika sana na kitendo cha kibinadamu kilichoonyeshwa leo na Mh.Mbunge Lema(Chadema) kwenda kumjulia hali Mh.Mbunge Charles Kitwanga(CCM) aliyelazwa .Mtakumbuka wakati Mh.Lema yuko Mahabusu Mh.Kitwanga alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani lakini Mh.Lema amejali Ubinadamu zaidi kuliko chuki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda Muhimbili kabla Chama dola hawatoa CCTVIkumbukwe pia Lema alimshambulia sana waziri huyu kuhusu suala la Lugumi