Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

Asante Bashiru, tumewajua machawa Halisi

voicer

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2020
Posts
5,545
Reaction score
11,943
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

JamiiForums-1072075634.jpg
JamiiForums896815200.jpg
JamiiForums690779634.jpg


Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
 
Hii culture ya uchawa ilioteshwq na kukuzwa na Bashiru kipindi Cha Magufuli
Ilikua Hadi aibu unamsikia mkuu wa mkoa akisema hata Mungu anatakiwa kumshukuru Magufuli
Na aliyewaroga watanzania ni huyu anayewaambukiza ugonjwa wa kupigana na historia,badala ya kupambana na yaliyopo kwa sasa!

Mnauziwa ubaya wa waliopita,huku mkiliwa na waliopo,kwa kujikaanga na mafuta yenu wenyewe!
 
Na aliyewaroga watanzania ni huyu anayewaambukiza ugonjwa wa kupigana na historia,badala ya kupambana na yaliyopo kwa sasa!

Mnauziwa ubaya wa waliopita,huku mkiliwa na waliopo,kwa kujikaanga na mafuta yenu wenyewe!
Historia ni muhimu Sana ndio maana inafundishwa shuleni Hadi vyuo vikuu

Ukitaka kuchagua kiongozi lazima kuijua historia yake
 
CCM mkiambiwa ukweli mbageuka Put-in!
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Eti wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
Usisahau video ya UVCCM wakipokea RUSHWA hadharani Mara na Simiyu.

Katibu mkuu yupo na mkt yupo wapo kimya Badala ya kufuta uchaguzi wote Nchi nzima kujisafishwa Kwa Umma!!!

Kwa uchafu na uozo huo, iweje watu tulazimishwe kusifia Eti "Anaupiga mwingi''"
 
Historia ni muhimu Sana ndio maana inafundishwa shuleni Hadi vyuo vikuu

Ukitaka kuchagua kiongozi lazima kuijua historia yake
Hatuongelei historia kwa mfumo unaouongelea wewe!
Naongelea historia kwa watu kupumbazwa na kutajiwa mabaya ya waliokwisha kufwa!
Huku wakijisahaulisha wanavyoumizwa na walioko sasa!

Badala ya kudeal na maumivu ya saa hii,watu wanadeal na Makaburi!

That's what it's!
 
Ccm wanatengeneza viungo ambao hawapaswi kujenga hoja ni kusifu na kuabudu. Na ili limeanza kutengenezwa kuanzia ngazi ya vijana ya uvccm.

Wanaamini aliye juu yako kimadaraka wala hawezi kosea. Ata maofisini bosi ukosea na unaweza mueleza.

Yote aya ni zao ya huyo huyo bashiru aliyekua anafurahi muda wa kusifu na kuabudu jiwe
 
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!

CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!

Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"

Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!

Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!

Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!

Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!

Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.

Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!

Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!

Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!

Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru

Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!

Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.

Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.

Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"

Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!

Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!

Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!

Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!

Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.

Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!

Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!

Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"

Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"

Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....

"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"

Yangu ni hayo kwa sasa!

Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"

Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!

Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!

View attachment 2423276View attachment 2423302View attachment 2423304

Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!

Alamsikhi
10101.
Yaani nyie chawa wa Bashiru safari hii mtanyooka
 
Hatuongelei historia kwa mfumo unaouongelea wewe!
Naongelea historia kwa watu kupumbazwa na kutajiwa mabaya ya waliokwisha kufwa!
Huku wakijisahaulisha wanavyoumizwa na walioko sasa!

Badala ya kudeal na maumivu ya saa hii,watu wanadeal na Makaburi!

That's what it's!
Mkuu shetani akijifanya malaika ni lazima umwambie sidanganyiki, atakua na ajenda zake binafsi ndio maana anajifanya malaika

Bashiru hajafa
 
Usisahau video ya UVCCM wakipokea RUSHWA hadharani Mara na Simiyu.

Katibu mkuu yupo na mkt yupo wapo kimya Badala ya kufuta uchaguzi wote Nchi nzima kujisafishwa Kwa Umma!!!

Kwa uchafu na uozo huo, iweje watu tulazimishwe kusifia Eti "Anaupiga mwingi''"
Na mbaya kabisa!
Wakiambiwa ukweli,wanawatumia hao vijana wao walioupata uongozi kwa njia za Ovyo,kuwaropokea wakubwa zao.
Bila hata aibu!
Tunawafundisha nini kizazi kijacho?
 
Mkuu shetani akijifanya malaika ni lazima umwambie sidanganyiki, atakua na ajenda zake binafsi ndio maana anajifanya malaika

Bashiru hajafa
Na kwa Bashiru,CCM inawapasa kujitafakari badala ya kukurupuka kumdhihaki,wakati yeye anawajua fika kwa uozo wao.
 
Yaani nyie chawa wa Bashiru safari hii mtanyooka
Chawa ni wewe unayewaza ndani ya kitambaa cha kijani!

Chawa ni wewe unayeridhika baada ya ka-tumbo kako kujaa shibe ya muda,ukisahau kesho pua kuna kula!

Chawa ni wewe unayepotezea kuambiwa ukweli,kwa kulimbilia Personal Attacks!

Chawa ni nyinyi wahuni mnaosifia "UHUNI"
 
Back
Top Bottom