voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,545
- 11,943
CCM Imegeuzwa Chaka la "Wahuni!"
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!
CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!
Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"
Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!
Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!
Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!
Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!
Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.
Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!
Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!
Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!
Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru
Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!
Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.
Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.
Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"
Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!
Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!
Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!
Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!
Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.
Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!
Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!
Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"
Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"
Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....
"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"
Yangu ni hayo kwa sasa!
Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"
Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!
Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!
Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!
Alamsikhi
10101.
Madokta wa "kihuni" kama #Kigwangalla!
Vijana Wa "Vihoja" kama #Kihongosi!
Wazee wa "Mipasho" kama #Bulembo!
CCM imegeuka chaka la wahuni,msemakweli ndie adui yao!
Hapo hakuna "Taasisi",bali kuna "Wahuni" na
"Wanaupiga Uhuni Mwingi"
Unapokuwa na Wasomi wa Makaratasi kama Kigwangalla!
Aliyetumia uwaziri kustarehe na wasanii kwa gharama za wizara!
Aliyetumia muda mwingi wizarani kugombana na katibu mkuu wake,kisa anakiuka maadili ya uwaziri!
Hatimae Rais akafanya vyake,katibu mkuu akawa waziri kwa sasa.
Huku Kigwangalla ni "Chawa" kwa sasa!
Ukawa na vijana wa Vioja kama Kihongosi.
Ambaye amekomaza shingo kuachia ngazi,pamoja na kuhusishwa kwenye kashfa za kuiba fedha za jiji la Arusha kupitia mkewe!
Halafu leo na yeye anapata ujasiri wa kumkosoa aliyesababisha hiyo CCM ikabaki ilipo!
Tunajua ma-CCM mengi yanao uchungu na #Bashiru,sio kwa sababu ya kumtetea mama yao!
Bali kwa hasira za kukatishwa ulaji na Tume ya kukagua na kuratibu mali za CCM.
Iliyoongozwa na Bashiru
Ni kupitia hiyo tume ndio kina #Bulembo walitemeshwa ulaji kutoka mauzo haramu ya shule za "TAPA"
Jumuia ya wazazi wa CCM!
Ni hiyohiyo tume ya #Bashiru,iliyowatemesha kina #Nape magari ya CCM waliyojimilikisha bila haya mchana kweupe.
Ila kwa tume ya #Bashiru,na misimamo ya #JPM.
Vyote vilirudi.
Wanaompinga Bashiru leo,ndio hao walikiuza kiwanda cha uchapaji cha CCM.
Ndio hao waliokuwa wamemuuzia Yusuf Manji kituo cha television cha CCM cha "Chanel Ten"
Yoote yaliharibika,baada ya #Bashiru kufanya kazi yake kwa uadilifu mkubwa!
Tunajua kabisa,sababu zilizowafanya walamba Asali waanze na kumuweka #Bashiru pembeni mapema!
Ni kwa sababu uwepo wake kama katibu mkuu,yanayotokea sasa,yasingewezekana kamwe!
Ni mengi na Ni wengi waliotemeshwa ulaji!
Ila pia tunajua walamba asali walivyoratibu zoezi la kuwafagia wazee wakweli ndani ya CCM.
Wengine wakiponea tundu la sindano,kina Mang'ula!
Ambao hawakubahatika ndio ikawa historia.
Mmoja wa waliosalimika akazawadiwa U- Vaisi- presoo!
Tunaomba mumpinge #Bashiru kwa "HOJA" badala ya "VIOJA"
Bashiru anayajua mengi ndani ya hicho chama,tena anayajua "MABAYA" yenu kuliko "MAZURI"
Kaeni mkijua kwamba Baba wa Taifa aliacha waosia huu....
"UPINZANI WA KWELI WA CCM,UTATOKA NDANI YA CCM YENYEWE"
Yangu ni hayo kwa sasa!
Enyi Wavimba Macho wa Kuumwa na "Nyuki" wa "Asali"
Mmepigwa kauli moja tu....mnatapatapa kila kona!
Mvua yenyewe bado inakuja! Hayo ya #Bashiru ni dalili zake tu!
Nimetumia haki yangu kusema "UKWELI" huu!
Alamsikhi
10101.