Naomba kufahamishwa umuhimu wa asali ya nyuki wakubwa,nimesikia ukichanganya na maji ya moto inasaidia kuyeusha mafuta mwilini ila sijajua ni asali ya nyuki gani wakubwa au wadogo! Mimi natumia ya nyuki wakubwa naomba kujua faida zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.