Asaidiwe vipi! True story

tatzo uo ushauri hatak kuufanyia kzi..na mara kadhaa uko nyuma ashajaribu akajirudisha mweneyw tna
Mahojiano haya yamenichekesha sana. Ila THE BOSS yuko right kabisa!!!! Run as fast as you can and never look back!
 
Duh! Hii ni ngumu, wanaume wauza sura ni shida sana, anataka kulelewa na wanawake. Huyo dada ausikilize moyo wake tu, kama ana amani, amsamehe na aendelee kuishi na mumewe. Ndoa zina siri nyingi sana. Akumbuke pia - hakuna guarantee kama akimuacha mumewe ndio atapata furaha huko aendako lol!

I dont agree with you at all. Na hii ni mentality ambayo wanawake wengi wa kiTZ wanayo na inawamaliza kisaikolojia maana wamejikuta waking'ang'ania mwanaume anayewanyanyasa kupita maelezo katika ndoa kisa wanaogopa watakayoyakuta huko nje. Kamwe katika maisha usitegemee furaha kutoka kwa binadamu yoyote la sivyo utakwenda na maji. Furaha utaipata kwa jinsi utakavyoamua kuyaishi maisha yako. Ndio we need each other in life but we depend on ourselves TOTALLY. Lakini kwa kusema furaha inapatikana kwa rafiki yangu huyu, au mume, au girlfriend, boyfriend etc siku huyo unayemtegemea akigeuka nyuma umekwisha.
 
tatzo uo ushauri hatak kuufanyia kzi..na mara kadhaa uko nyuma ashajaribu akajirudisha mweneyw tna

Ni kwa saabu ya uoga na hajiamini. Anahisi ataenda the maisha yatmshinda wakati kila kitu inawezekana chini ya jua kama ukiweka akili yako yote hapo. Ndio mwanzo utakuwa ni mgumu sana, tena sana lakini at some point ataweza.
 
this is true
I dont agree with you at all. Na hii ni mentality ambayo wanawake wengi wa kiTZ wanayo na inawamaliza kisaikolojia maana wamejikuta waking'ang'ania mwanaume anayewanyanyasa kupita maelezo katika ndoa kisa wanaogopa watakayoyakuta huko nje. Kamwe katika maisha usitegemee furaha kutoka kwa binadamu yoyote la sivyo utakwenda na maji. Furaha utaipata kwa jinsi utakavyoamua kuyaishi maisha yako. Ndio we need each other in life but we depend on ourselves TOTALLY. Lakini kwa kusema furaha inapatikana kwa rafiki yangu huyu, au mume, au girlfriend, boyfriend etc siku huyo unayemtegemea akigeuka nyuma umekwisha.
 
tamfikishia ushauri huu
Ni kwa saabu ya uoga na hajiamini. Anahisi ataenda the maisha yatmshinda wakati kila kitu inawezekana chini ya jua kama ukiweka akili yako yote hapo. Ndio mwanzo utakuwa ni mgumu sana, tena sana lakini at some point ataweza.
 
hapa ugonjwa aliutafuta mwenyewe kwa mazingira ya uhusiano wao inaekana huyu mdada ndiyo walewale wapenda hela,,,,zembwera siku ya wamama duniani alisema ukimwona mwanaume amefanikiwa ujue kuna mwanamke nyuma yake sasa yeye aliona jamaa stndrd7 akajua amefanikiwa hivihivi ngoja atumikie amtunda ya tamaa zake form siks anashindwa ata kumtafuta fom4 ambaye uelewa wake ni mkubwa kidgo!
yaan nimejitahidi sn..hope umeelewa
 
alimpendea usharobaro wake myb..maana ata mwanzo hakua na pesa kiviile..uyu dada etu ngalau kwao walikua poa..na ikumbukwe family ya uku kwetu ilimpa mtaji shem..
hapa ugonjwa aliutafuta mwenyewe kwa mazingira ya uhusiano wao inaekana huyu mdada ndiyo walewale wapenda hela,,,,zembwera siku ya wamama duniani alisema ukimwona mwanaume amefanikiwa ujue kuna mwanamke nyuma yake sasa yeye aliona jamaa stndrd7 akajua amefanikiwa hivihivi ngoja atumikie amtunda ya tamaa zake form siks anashindwa ata kumtafuta fom4 ambaye uelewa wake ni mkubwa kidgo!
 
unajua nini vile mnakera sisi wenye mapenzi yetu tunafuatilia mmmmpaka kisa mumeona shalobaro,,,,,,mpe pole na mwambie alitukataa wangapi kipindi tunafuatilia na kusepa na huyo shalobaro wa hela za masuga mumy na ajajua yanawivu hayo we acha tu, s i muda atakuwa anaambulia raha ya kunaniiii ....kwa marafiki zake kwenye story!
alimpendea usharobaro wake myb..maana ata mwanzo hakua na pesa kiviile..uyu dada etu ngalau kwao walikua poa..na ikumbukwe family ya uku kwetu ilimpa mtaji shem..
 
alimchagua alivo..ila ss ndo anajutia..inatokea
unajua nini vile mnakera sisi wenye mapenzi yetu tunafuatilia mmmmpaka kisa mumeona shalobaro,,,,,,mpe pole na mwambie alitukataa wangapi kipindi tunafuatilia na kusepa na huyo shalobaro wa hela za masuga mumy na ajajua yanawivu hayo we acha tu, s i muda atakuwa anaambulia raha ya kunaniiii ....kwa marafiki zake kwenye story!
 
hakuna cha alimchagua alivyo...! tatizo alidhani unakumbuka shairi la USIONE UKADHANI...usione nguo kunuka ukadhnai ni mtumba....usione mbwa kubweka ukadhani kuna kitu...(sometime anabweka umbea(be loved mr eboo) ama ni mwoga.. take this oppoetunity kujifunza mimi si mnanikataa nawaangalia tu..,,vipi wewe umeisha pata?
alimchagua alivo..ila ss ndo anajutia..inatokea
 
ss kumbe unatumia nafas hii kujipigia chapuo? haya,watakuja tu..endelea kuwatafta
hakuna cha alimchagua
alivyo...! tatizo alidhani unakumbuka shairi la USIONE
UKADHANI...usione nguo kunuka ukadhnai ni mtumba....usione mbwa
kubweka ukadhani kuna kitu...(sometime anabweka umbea(be loved mr
eboo) ama ni mwoga.. take this oppoetunity kujifunza mimi si mnanikataa
nawaangalia tu..,,vipi wewe umeisha pata?
 
ashajaribu kuondoka mara tatu..tena kipindi iko alikua na mtt mmoja bado..akabeba na vyombo vyake kabs..ila baadae akiwa uko nyumbani alianza kua antoroka toroka anrudi kwa mumewe kisrisiri..baadae akahamia kabisa..ss ivi ndg wamechoka..wanabaki tu kuumia vile anavolalamika
Mwanaume anajua kupenda na ana bahati ya kupendwa. Mshauri avumilie dada yako na soon atatulia tu. Huo ni upepo utapita
 
ameolewa ana miaka 11 ndani ya ndoa na ana watoto wawili,wa kike na kiume..Akiwa na miaka mitatu ndani ya ndoa aligundua kua mumewe hajatulia,alikua ana mahusiano nje na wanawake wenye uwezo tu,na huko yy alikua akijinadi kua yuko single ila ana maid nyumbani anaemlelea wanae baada ya kuachana na mkewe miaka ming ilopita..tabia hii iliendelea mpaka wakazaliwa watoto wengne wawili kwa mama tofauti,na kila mama akijua kua yuko peke yake ila kuna watoto ktk ndoa ya awali ya bwana huyu..muda mrefu wamekua na migongano ya hapa na pale ndani ya ndoa yao,chanzo kikiwa na kutokutulia kwa huyu shemeji yetu..maana wakat mwngine alikua anapotea nyumbani hata wiki,akirudi anasema alikua kapata kazi ya kulinda club,wakat mwingne anarudi na na kadi za bank ambazo wamiliki wake ni wanawake na mkewe akiuliza alikua anaambiwa ni za hawara wa marafiki zake na shemeji..ss majuzi,huyu shemeji yetu alikuja akawachukua watoto nyumbani,na alisema anatoka nao anaenda kuwafanyia shopping,na siku hiyo ilikua birthday ya mtt wake wa kwanza..kumbe uko alikua ameandaa birthday party ya mwanae huyo huku akisaidiana na mwanamke wake mwingne ambae amezaa nae mtt (ana uwezo sn kifedha)..baada ya sherehe kwa kua mtt mkubwa ana miaka 10 ss alikua anaona kila kinachoendelea,alipofika nyumbani alimuhadithia dada kila kitu..apo waligombana sn na mumewe bt bado wakaendelea kua pamoja..ss majuzi amekuja kugundua kua huyu shemeji ameoa,tena amefunga ndoa ya kiislamu..na anatambulika kwa jina la kiislam kwao na mwanamke alomuoa saiv..ikumbukwe kua dada yetu ni mkristo na uyu ana shemeji yetu uku upande wetu anajulikana ni mkristo..dada aligundua hili baada ya kujiunga facebook,so kuna watu walimtumia picha za mumewe akifunga ndoa hiyo msikitini na ktk sherehe pia..na yy alipochunguza sn alikutana na copy ya cheti cha ndoa cha mumewe na jina lake jipya la uislamun..dada yetu alifunga ndoa ya kimila tu na shemeji yetu huyu..ss anataka msaada.je asaidiwe vipi?..

NB..shemej yetu aliishia std 7,dada yetu form six..kuna wakat alipata nafac ya kusoma D.I.T bt hakumaliza,maana mumewe alikua akimfungia ndani kila akigundua kua ni wakat wa kufanya mitihani..hivo akashindwa kumaliza masomo yake..

jaman kusimulia wito..nivumilien ivo ivo..
ni hivi kinds of marriages in tanzania ni 2, 1 monogamous or those which are intended to be monogamous 2, polygamous or those which are intended to be polygamous...sasa sababu huyo ameoloewa kwa kufuata msingi wa kimila bhass hiyo ndoa ni potentially polygamous..ni maneno ya section 10 ya family act 1971 laws of tanzania..sasa sijui anataka msaada upi hapo..!!
 
mm si mtaalamu wa mambo ya sheria..ila naamini ktk iyo sheria ya poligamy inahitaji makubaliano na mke wa kwanza..angalau afaham ni nini kinaendelea..ss yy shem anafanya kimya kimya na huku aki m-ref yy kama mlezi wa watoto na si mke..
ni hivi kinds of marriages in tanzania ni 2, 1 monogamous or those which are intended to be monogamous 2, polygamous or those which are intended to be polygamous...sasa sababu huyo ameoloewa kwa kufuata msingi wa kimila bhass hiyo ndoa ni potentially polygamous..ni maneno ya section 10 ya family act 1971 laws of tanzania..sasa sijui anataka msaada upi hapo..!!
 
alipochunguza sn alikutana na copy ya cheti cha ndoa cha mumewe na jina lake jipya la uislamun..dada yetu alifunga ndoa ya kimila tu na shemeji yetu huyu..ss anataka msaada.je asaidiwe vipi?..

NB..shemej yetu aliishia std 7,dada yetu form six..kuna wakat alipata nafac ya kusoma D.I.T bt hakumaliza,maana mumewe alikua akimfungia ndani kila akigundua kua ni wakat wa kufanya mitihani..hivo akashindwa kumaliza masomo yake..


  1. Hakuna haja ya ushauri kwa mtu asiyeweza kujisimamia hasa hapo katika kekundu.
  2. Msomi wa F6 Utaburuzwaje na mtundu wa std 7 bana? Hadi ushindwe kumaliza chuo kikuu (alitaka uwe tegemezi).
  3. Hakuna ndoa hapo iwapo mtu anabadili dini (sheria ya ndoa)
  4. Aachane na kuwa kivuli cha bibadamu na kuwa binadamu kamili
  5. Achukue maamuzi magumu kama ya serikali ya CCM kuvuta matokeo ya F4 ya 2012

Bazazi ni Bazazi
 
kweli kabisa Bazazi..asante kwa ushauri
  1. Hakuna haja ya ushauri kwa mtu asiyeweza kujisimamia hasa hapo katika kekundu.
  2. Msomi wa F6 Utaburuzwaje na mtundu wa std 7 bana? Hadi ushindwe kumaliza chuo kikuu (alitaka uwe tegemezi).
  3. Hakuna ndoa hapo iwapo mtu anabadili dini (sheria ya ndoa)
  4. Aachane na kuwa kivuli cha bibadamu na kuwa binadamu kamili
  5. Achukue maamuzi magumu kama ya serikali ya CCM kuvuta matokeo ya F4 ya 2012

Bazazi ni Bazazi
 
Back
Top Bottom