kilama
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 2,782
- 2,084
JAAAAMAAAN![]()
Hahahahaha
JAAAAMAAAN![]()
Uzi ufungwe hapa,umepigilia msumari wa mwisho kwenye jeneza la unyonyaji la ASA.Yaani ASA Microfinance waajiri maafisa mkopo 100. Hao ni watu wa sales ila wanazuga eti Afisa Mkopo. Unalipwa kwa commission. Hamna lolote hapo. Wanachukuaga watu wenye njaa. Nyie wenye degree zenu hamuwezani.
Boss naomba connection nipate kazi yoyote hapo AsaNayeye ndio nilimpa CV ya mdogo wangu aendenayo
Hv pale unapeleka cv tuu bila kitu kingine.?Ipo ivi wakuu naon mnampinga sana mdau apo juu ila ASA wameshaita watu batch 2 ndo wapo training.kama hujaitwa na bado unahitaji kazi nashauri ni vyema ukapeleka cv physically pale kuna cv drop box unakua Na chances kubwa za kuitwa
Acha kazi iendelee Tukutane TPB BANK