Arushaone.... You Are Getting Old... Damn You!!

Asprin leo umeniliza na kunichekesha khaaa!
siingii tena kwenye huu uzi.
Jamani jamani jamani gfsonwin ndo nini? Lakini nshakuelewa. Na hiyo hali yako kucheka sana si vizuri...

Fuata huu ushauri wa kitaalamu

 
Last edited by a moderator:
samahani best hata hukunialika kwenye sikukuu hii kulikoni ulikwenda kuwatembelea wazazi?
best si bora hata ningeenda kwa wazazi? nilikuwepo hapa hapa na la maana nililolifanya halikuwepo.
Ila pasaka inaendelea bado, wakaribishwa sana siku yoyote best. niambie tu wapendelea nini nikuandalie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…