Arusha vs Dar

Ni watu wa majivuno pasipo mipango yeyote wanayehisi ni mjanja kuliko wao watamchukia na kumfitini sana, mfano watoto wa Arusha. Siku za karibuni, nimegundua watu wa Dar kama wanakahusda flani hivi juu ya watu wa Arusha ata nilivokuwa Marekani niliona hii(kwa short course), na siyo Mbeya wala wapi, na hii utaiona kuanzia kwenye maofisi mpaka kwenye sanaa nk. Najiuliza ni kwanini?
Watu gani hao wa Dar wenye husda na watu wa Arusha?! Mimi nakaa Dar hata sijawahi ku notice huyu mtu wa Arusha, wote mi nawaona Watanzania tu, mtu ninae mnotice ni Mmasai tu ila wengine wala sijawahi kuona huyu wa Arusha,Mbeya etc
 
Mmmh tuanche ushabiki
Huwezi linganisha Dar na Arusha
Hahahahaha
Hivi bahari ya Arusha inaitwaje
 
1. Wakati arusha bado mnaangaika na kuziba viraka vya lami kwenye Main road zenu........................Dar iko kwenye flyovers, Njia za mwendo kazi, 8 lanes za Dar to Chalinze, Lami barabara za mitaani

2. Wakati Arusha Mnaangaika kupinda migongo kwenye Vihiace/Vipanya ............................. Dar iko kwenye Mabasi ya kisasa ya mwendo kasi, Dar iko kwenye usafiri wa treni pugu to posta, Dar iko kwenye Sea Taxi za kuvusha watu Feri to kigamboni, Dar iko kwenye Boti za kisasa kusafirisha watu Dar - Bagamoyo.

3. Wakati arusha mnaangaika kupata magorofa marefu ..................Dar iko kwenye ghorofa 36 TPA building, Dar iko kwenye skyscrapers zenye rotating floor eg Golden Jubilee( i mean unakula bia uko floor ya 35 inayozunguka, yes floor ya gorofa inazunguka).

4. Wakati Arusha mnajazana kwenye makumbusho ya Sheikh Amri Abeid kuangalia mpira......................Dar wana 60,0000 seater modern ground, one of the best in Africa.

5. Wakati Arusha ukitembea kilometer tano unakutana na Nyumba za Udongo na Mpori..............................Dar ukitoka Mbagala Kongowe to Bunju nakadiria kama kilometer 50 hivi au zaidi hukuti pori wala banda la udongo

6. Wakati Dar watu wanatumia akili nyingi kusaka pesa na mzunguko ni mkubwa wa pesa (kuuliza direction unalipia,kupelekwa sehemu unalipia, majani ya mifugo yanuzwa)................Arusha kila chalii kavimbisha midomo kwa kujaza kubeli na viroba akivizia vibibi vya kizungu vimpe kula.

7.Kwa watu wa bata Dar unaweza kula bata tani yako viwanja hutovimaliza.....................Arusha kuna maeneo ya bata zenye akili hata 10 hayafiki.

8. Wakati arusha wanajiita mji wa kibiashara.......................Kariakoo pekee ya Dar inaingiza na kutoka watu inakadiriwa milioni moja everyday kufanya manunuzi mbali mbali.

9. Arusha jaribu kuishindanisha na Halmashauri zingine bado haiko kwenye hadhi ya kuwa jiji, inaitwa jiji kisiasa tu...ndo mana hata Tanga ni jiji pia.

10. Dar es salaam ni levo za Nairobi, Harare etc. Dar Hailali, Mandele road daladala zinakesha usiku kucha, morogoro road daladala zinakesha, nyerere road zinakesha................Arusha ikifika saa tano ya usiku mji ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii unaweza ukakutana na Fisi barabarani. teh tehe teh. NO PANIC
Sema na hii wakati dar wanaume wakijigeuza mashoga nakukimbilia Arusha kupata Mabwana..........Chalii ya Arusha tunapiga hela za utalii... Chugga ni kituingine wewe idiot.
 
Sema na hii wakati dar wanaume wakijigeuza mashoga nakukimbilia Arusha kupata Mabwana..........Chalii ya Arusha tunapiga hela za utalii... Chugga ni kituingine wewe idiot.

NAONA UMEPANIC. Arusha saa tano usiku unaweza kuliwa na fisi teh teh teh
 
1. Wakati arusha bado mnaangaika na kuziba viraka vya lami kwenye Main road zenu........................Dar iko kwenye flyovers, Njia za mwendo kazi, 8 lanes za Dar to Chalinze, Lami barabara za mitaani

2. Wakati Arusha Mnaangaika kupinda migongo kwenye Vihiace/Vipanya ............................. Dar iko kwenye Mabasi ya kisasa ya mwendo kasi, Dar iko kwenye usafiri wa treni pugu to posta, Dar iko kwenye Sea Taxi za kuvusha watu Feri to kigamboni, Dar iko kwenye Boti za kisasa kusafirisha watu Dar - Bagamoyo.

3. Wakati arusha mnaangaika kupata magorofa marefu ..................Dar iko kwenye ghorofa 36 TPA building, Dar iko kwenye skyscrapers zenye rotating floor eg Golden Jubilee( i mean unakula bia uko floor ya 35 inayozunguka, yes floor ya gorofa inazunguka).

4. Wakati Arusha mnajazana kwenye makumbusho ya Sheikh Amri Abeid kuangalia mpira......................Dar wana 60,0000 seater modern ground, one of the best in Africa.

5. Wakati Arusha ukitembea kilometer tano unakutana na Nyumba za Udongo na Mpori..............................Dar ukitoka Mbagala Kongowe to Bunju nakadiria kama kilometer 50 hivi au zaidi hukuti pori wala banda la udongo

6. Wakati Dar watu wanatumia akili nyingi kusaka pesa na mzunguko ni mkubwa wa pesa (kuuliza direction unalipia,kupelekwa sehemu unalipia, majani ya mifugo yanuzwa)................Arusha kila chalii kavimbisha midomo kwa kujaza kubeli na viroba akivizia vibibi vya kizungu vimpe kula.

7.Kwa watu wa bata Dar unaweza kula bata tani yako viwanja hutovimaliza.....................Arusha kuna maeneo ya bata zenye akili hata 10 hayafiki.

8. Wakati arusha wanajiita mji wa kibiashara.......................Kariakoo pekee ya Dar inaingiza na kutoka watu inakadiriwa milioni moja everyday kufanya manunuzi mbali mbali.

9. Arusha jaribu kuishindanisha na Halmashauri zingine bado haiko kwenye hadhi ya kuwa jiji, inaitwa jiji kisiasa tu...ndo mana hata Tanga ni jiji pia.

10. Dar es salaam ni levo za Nairobi, Harare etc. Dar Hailali, Mandele road daladala zinakesha usiku kucha, morogoro road daladala zinakesha, nyerere road zinakesha................Arusha ikifika saa tano ya usiku mji ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii unaweza ukakutana na Fisi barabarani. teh tehe teh. NO PANIC
Very true mkuu ,umesahau tu vijana wa Arusha esp.wameru wako radhi kuua wazee wao ili wapate mashamba then wanayauza pesa zinaishia kwenye viroba
 
Unadhani haijaendelea? Kipi Kipo dar hakipo Arusha. Wao ndio mji mwenye watumiaji wengi wa internet kwa asilimia, east and central Africa kwa mfano
http://allafrica.com/stories/200910270854.html

Dar mwendokasi akili kumkichwa ila unakosea sana ukisema ni Dar na Arusha pekee miji imeendelea kuliko yote Bongo....Dar haina mpinzani....ila kwa Arusha bado sana huitendei haki Mwanza hata Mbeya inakuja kwa kasi cku hizi
 
Back
Top Bottom