bob_fundi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2025
- 453
- 701
๐๐๐๐๐๐Arusha mjini inaenda kutoa waziri mkuu sasa unaanzaje kumkataa makonda?
๐๐๐๐๐๐Arusha mjini inaenda kutoa waziri mkuu sasa unaanzaje kumkataa makonda?
Mzawa hapo ni nani?
Ila makomnda aliypomfanyia hayajamrudia?Gambo mambo aliyomfanyia Lema yamemrudia
Waziri mkuu ana ban ya kwenda USA mbona mnajilisha Upepo waziri labda wa Mambo ya ndaniArusha mjini inaenda kutoa waziri mkuu sasa unaanzaje kumkataa makonda?
Musimuharibie mwenzenu chances zake kwa kumtaja taja kwenye mitandaoWaziri ni DOTTO BITEKO.
manake first priority ni BABU, makonda hata tatu bora hayumo. huo mpangilio wa majina ukisoma kila mkoa, utakuta mawaziri wote ni no.1, au wote wenye nguvu wamewekwa no.1.Tuwe Makini na Makonda kafanikiwa kutumia ukuu wa mkoa kumsimanga na kumdhalilisha mbele za hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuchukua kiti cha ubunge wa Gambo. Arusha tutakwenda na ALLY BABU
Sema wanaccm wa Arusha muende na huyo Ali Babu, maana kiuhalisia ccm kukiwa na ushindani wa kweli haiwezi kushinda.Tuwe Makini na Makonda kafanikiwa kutumia ukuu wa mkoa kumsimanga na kumdhalilisha mbele za hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuchukua kiti cha ubunge wa Gambo. Arusha tutakwenda na ALLY BABU
Sifa za waziri mkuu Tanzania hazizuii mtz mwenye ban asiwe waziri mkuu katiba iko waziWaziri mkuu ana ban ya kwenda USA mbona mnajilisha Upepo waziri labda wa Mambo ya ndani
Kwani wananchi ndio wanamchagua, au ameshapangwa?Itakuwa "umama" watu wa Arusha Mjini kumuacha mzawa wa A town na kuchagua mamluki kama Daud Bashite a.k.a Makonda.
Hawezi kua waziri mkuu huyo acha kupoteza mdaSifa za waziri mkuu Tanzania hazizuii mtz mwenye ban asiwe waziri mkuu katiba iko wazi
Pole sana mumeo hashindiMakonda ni "mume" wa mtu, angalia sana kauli yako
mume wa mama yakoPole sana mumeo hashindi
Itakuwa "umama" watu wa Arusha Mjini kumuacha mzawa wa A town na kuchagua mamluki kama Daud Bashite a.k.a Makonda.
Haya kanawe miguu ulale...uzime na taamume wa mama yako