Makonda ni "mume" wa mtu, angalia sana kauli yakoTuwe Makini na uhuni wa Bashite kafanikiwa kutumia ukuu wa mkoa kumsimanga na kumdhalilisha mbele za hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuchukua kiti cha ubunge wa Gambo.......Arusha tutakwenda na ALLY BABU
Umekosea mkuuMaonda ni "mume" wa mtu, angalia sana kauli yako
aliSemaje? Makonda yuko jikoni kwa "mama"..............zote hizo ni ghereshaBado natembea na utabiri wa braza pasco mayalla
Hakusema hivyo braza Pascal Mayalla hata hivyo wacha tuone kama kweli ni geresha🙏aliemaje? Makonda yuko jikoni kwa "mama"..............zote hizo ni gheresha
Alisemaje?Bado natembea na utabiri wa braza pasco mayalla
So sio biteko Tena?Arusha mjini inaenda kutoa waziri mkuu sasa unaanzaje kumkataa makonda?
Waziri ni DOTTO BITEKO.Arusha mjini inaenda kutoa waziri mkuu sasa unaanzaje kumkataa makonda?
KAma majaliwa hakupandishwa kipindi kile kuwa Makamu wa Rais, basi Biteko hawezi kupandishwa safari hii kuwa PM.Waziri ni DOTTO BITEKO.
Mzawa hapo ni nani?Itakuwa "umama" watu wa Arusha Mjini kumuacha mzawa wa A town na kuchagua mamluki kama Daud Bashite a.k.a Makonda.
Who cares?Tuwe Makini na Makonda kafanikiwa kutumia ukuu wa mkoa kumsimanga na kumdhalilisha mbele za hadhara mara kwa mara kwa lengo la kuchukua kiti cha ubunge wa Gambo. Arusha tutakwenda na ALLY BABU