Arusha Technical College (ATC) Special Thread

Arusha Technical College (ATC) Special Thread

Halafu namba ya account ya hicho chuo inasumbua siku ya pili leo naumbuka kwa wakala wa NMB kanielekeza niende bank,sijui na huku nitaumbuka maana kila nikiweka account number ile mashine ya wakala inaandika invalid account number
 
Bach ya course gani? acha ubahili mkuu heslb si watasababisha bna geto ya 40000 itakushinda kweli n boom juu?
Electrical &biomedical!!! Hahah si unajua wengne tunajisomesha wenyewe mkuu family support hatuna bana bt semister ya kwnz ndio inakuwaga inabana kidogo !!
 
jamani nauliza yakuwa je majibu kwa waliochaguliwa yatatumwa kwenye website yao au kwenye email zetu
Both Either upigiwe simu ila pia kwa Website ya chuo yatawekwa, Madogo wa Direct from school wao majina yao na Join vipo kwa web ya chuo atc.ac.tz
 
jamani majibu nasikia yametoka kwa wale walio apply chuo cha atc
ni habari za kweli au waongo tu
 
Je kozi za veta ni miaka mingapi?
Je wanaosoma hizo kozi wanavaa uniforms?
 
Et waliochaguliwa mwaka huu diploma ya mechanical engineering wanatakiwa kuripoti chuo tarehe ipi.

"the best never rest"
 
Back
Top Bottom