anaingia mwaka wa pili ndio sijui kwann anasema ni novembaNdio anaingia Second year? Chuo tunafungua Mwezi wa nane wote
ok so mwanzo kulikua na taarifa za october sioHamna Kitu ka icho chuo wote ni mwezi wa nane wote,Serikali ili prosper academic year ianze October lakini Imekatliwa
mkuu naomba unisaidie hizo kozi za veta ni zipi nimlete dogo hapo.Zipo course za Veta pia
Bachelor hostel chache mno mkuu sana sana wengi ni wapo Out campusWatu wa degree wanakaa hostel za chuo au niaje na gharama zake zipoje mkuu
Thankx .Vip gharama za vyumba out campus na distance hadi chuo mkuu.?Bachelor hostel chache mno mkuu sana sana wengi ni wapo Out campus
Standard ni 40K boss Apo ni Karibu na college tuThankx .Vip gharama za vyumba out campus na distance hadi chuo mkuu.?
40 per month sio Mkuu pia collaboration si zipo kwa wadau hapo .Standard ni 40K boss Apo ni Karibu na college tu
Ukipata kampani Good, Uko Beng au diploma?40 per month sio Mkuu pia collaboration si zipo kwa wadau hapo .
Ipo kwa web ya chuo atc.ac.tzMsaada mwenye joining instruction ya hapo ATC kuna dogo langu atakuja kusoma hapo Lab
Unaweza nitumia whatsapp 0686898048