Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,580
Mkuu LiverpoolFC si ccm huwa kila failure yao wanai blame CHADEMA,sasa nimeona niwarahisishie kazi kwa kuwatajia makamanda wa A.town Mungi na PakaJimmy ili wasipate taabu wakianza kuwatafuta wa kuwalaumu.
Aisee we utakuwa unahusika na huu mgawo usio rasmi!!!!! ........... hey! where is my gun!..................😛ainkiller: