Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,068
- 2,225
leo hii kuna mtu kanipa tetesi kuwa gharama za mafuta ya kuendesha yale majenereta (sijui ndo ya simbion) zimekuwa mwiba kwa serikali yaani kulipa imekuwa shughuli pevu!
Hapa arusha yapata masaa manne hakuna umeme wa giridi ya taifa,sasa ndio tuseme kamgao cha kimya kimya kameanza au?
Hapa arusha yapata masaa manne hakuna umeme wa giridi ya taifa,sasa ndio tuseme kamgao cha kimya kimya kameanza au?