Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,760
- 19,997
- Thread starter
- #21
Ha ha haaa juu ya kupashana infomasion
...salute mingi sana papaa
Ha ha haaa juu ya kupashana infomasion
....
....BVR watu wamefurika hakika ni kura za mafuriko
Kamanda kwa hiyo hawa wote ulioweka picha zao walikuwa kwa Lowasssa?
Bado mapema kusema, Magufuli anaweza kuwa mchafu kama mtu mwingine, lakini hajafikia hatua ya kutosafishika. Tusibiri UKAWA watangaze mgombea, kisha mambo ya kupiga kura kwa nani yatafuata. Saa moja kabla ya kupiga kura inaweza badili yote pia.
Kazi imeisha na UKAWA kwisha. Lowassa atasimama na kuvunja kundi lake na kumuunga mkono Magufuli.Kamanda kwa hiyo hawa wote ulioweka picha zao walikuwa kwa Lowasssa?
Mdau mtafute kamanda lema popote alipo na wakina molemo waambie wawe makini na hizo bvr tuna wasiwasi nazo wasijekuchakachua na wapiganie kuipata tume huru kabla ya kupiga kura
Kazi imeisha na UKAWA kwisha. Lowassa atasimama na kuvunja kundi lake na kumuunga mkono Magufuli.
Kazi imeisha na UKAWA kwisha. Lowassa atasimama na kuvunja kundi lake na kumuunga mkono Magufuli.
Haijalishi ccm kapumzikeni mshajichokea.
Nimeshuhudia jana hapa mwanza wanachama wa ccm wakichana kadi zao za chama kwa hasira...na wemeahidi kura kwa ukawa
Kamanda kwa hiyo hawa wote ulioweka picha zao walikuwa kwa Lowasssa?
Mwaka wa kifo wa ccm makamanda tujiandae