kirumbiu
JF-Expert Member
- Feb 23, 2016
- 536
- 616
Mimi kwakweli nashindwa kuelewa inamaana kiongozi kama umekubali utendaji mzuri wa serikali ni mpaka ujiuzulu wadhifa uuliopewa na wananchi kwa kukupigia kura? Kama umefurahishwa na utendaji mazuri wa raisi muda huu siindiyo mazuri wa kuwa begakwa bega na raisi ili umuunge mkono utekeleze Yale mazuri ya raisi anayofanya ukiwa na wadhifa huo,je ukijiuzulu utamoneshaje raisi unamuunga mkono?je wengine mmbona wao wanawatumikia wananchi bila kujiuzuluu?sijajuwa madhumuni ya huo mtindo wa kiongozi kujiuzulu kwa kigezo cha kumuunga mkono raisi wangejiuzulu kwa utendaji mbovu hapo ningeelewaMwenyekiti wa serikali ya mtaa wa FFU kata ya Muriet jijini ndugu Anacletus Edward Arusha ameamua kuachia uwenyekiti na kujivua uanachama wa CHADEMA na kuhamia CCM.
Huu ni muendelezo wa viongozi wa CHADEMA kuachana na Chama hicho na kuamua kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika kupambana na ufisadi, kusimamia maendeleo na Rasilimali za nchi huku CHADEMA ikionekana kukinzana na kila jambo jema kwa maslahi ya nchi.
Tetesi kutoka Arusha zinaeleza kuwa bado kunatarajiwa wimbi kubwa la viongozi wa CHADEMA kuachia ngazi.