ARUSHA: Mwenyekiti wa mtaa FFU ajiuzulu na kuhamia CCM

Huu ni muendelezo wa viongozi wa CHADEMA kuachana na Chama hicho na kuamua kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika kupambana na ufisadi, kusimamia maendeleo na Rasilimali za nchi huku CHADEMA ikionekana kukinzana na kila jambo jema kwa maslahi ya nchi.
Waliotanguliza matumbo mbele wengi wataondoka kwa kisingizio hicho,wapinzani wa kweli wenyenia ya kweli ya kuikosoa serekali ifanye vizuri wataendelea kuwepo mahali pao hata Kama watabaki 2 wataendelea kupiga mzigo mpaka serekali itakapo nyooka.
 
Waliotanguliza matumbo mbele wengi wataondoka kwa kisingizio hicho,wapinzani wa kweli wenyenia ya kweli ya kuikosoa serekali ifanye vizuri wataendelea kuwepo mahali pao hata Kama watabaki 2 wataendelea kupiga mzigo mpaka serekali itakapo nyooka.

Hawakatazwi kuendelea kuwa wapinga chochote
 
HII HELA YA KUCHEZEA CCM WANAITOA WAPI.........................???????????????????????????????????????????????????????????????????????? ISIJE KUWA ZA MAKINIKIA.............
 
Wanaohama upinzani wanakwenda kuungana na wachumia tumbo wenzao wasio weza kupambanua mazuri na mabaya kila kitu kwao ni ndiyooo,hata Kama serekali ikikosea hakuna lingine zaidi ya kusema ndiyoo,wote tukijazana CCM kusiko kuwa na demokrasia ya kweli ambako mtazamo wa mtu binafsi hairuhusiwi,sijui ni nani atakaye ikosoa serekali inapokosea kwa kuwa hata Magufuli ni binadamu mwenye makosa yake na siyo Mungu ambaye ni mwiko kukosolewa.
 
napenda chadema waendelee kupuuzia haya matukio ya wanachama wao kuhama.
 
Chezea kufika bei weee.. na hali ilivyo tight tena, hata kwa buku tano mtu anahama tu wakiongozwa na baba lao Propesa pumba.
Mkuu achen ushabiki usiokua na Tija hali halisi inajieleza.......

Ni muda wakujitafakari upya na kupanga mfumo upya.. .....!
 
Only fools like you can be comfortable and celebrate
Mmezowea kuwashika mazombie na kuwaimbisha wimbo wa mabadiliko wakati nyie mnajipigia hela chafu....Ruzuku za chama zinaishia kumlipa mwenyekiti eti mwenyekiti kakikopesha chama.

Arusha wanasema Ngashtuka!!
 
Mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa FFU kata ya Muriet jijini ndugu Anacletus Edward Arusha ameamua kuachia uwenyekiti na kujivua uanachama wa CHADEMA na kuhamia CCM.

Huu ni muendelezo wa viongozi wa CHADEMA kuachana na Chama hicho na kuamua kuunga mkono juhudi za Rais Magufuli katika kupambana na ufisadi, kusimamia maendeleo na Rasilimali za nchi huku CHADEMA ikionekana kukinzana na kila jambo jema kwa maslahi ya nchi.

Tetesi kutoka Arusha zinaeleza kuwa bado kunatarajiwa wimbi kubwa la viongozi wa CHADEMA kuachia ngazi.
Eti wanadai wote hao wanahongwa!! cdm chaliiiiiiiiiiiii kwishaaaaaaaaa mbendembendeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!
 
Aisee ccm inapoteza hela zake bure maana wananchi tutainyoosha ccm kwenye uchaguzi
Si watakaoshinda nao watanunuliwa? Tena mmesema wananunuliwa kwa buku tano tu? Jamani acheni kujifanya wajinga. Kiini cha tatizo kwenye chama chenu sasa kinajulikana kwa kila mwenye akili. Tatueni kiini hicho cha tatizo.
 
Back
Top Bottom