Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa BARAZA LA WAZEE Wilaya ya Arusha Mjini Mh Emmanuel Zacharia (Baba Boni) na watu wanne waliokuwa kwenye gari ndogo aina ya Suzuki wameshambuliwa vibaya na Green Guard.
Watu wawili wameumizwa vibaya katika shambulio hilo.
Mwenyekiti wa Wazee Baba Boni na watu hao walikuwa wanaelekea kwenye Mkutano wa CHADEMA unaofanyika Mtaa Msasani Eneo la Ebenezer
Mwakilishi wa
Mwanahabari Huru
ARUSHA
Watu wawili wameumizwa vibaya katika shambulio hilo.
Mwenyekiti wa Wazee Baba Boni na watu hao walikuwa wanaelekea kwenye Mkutano wa CHADEMA unaofanyika Mtaa Msasani Eneo la Ebenezer
Mwakilishi wa
Mwanahabari Huru
ARUSHA