Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #21
Nihatari sana sanaYeriko Nyerere
Nihatari sana sanaYeriko Nyerere
Ccm wana kamtindo kakutumia watu kama toilet paper wakisha maliza kazi wanaku flashKwani hakuna fremu zinazomilikiwa na Ccm hapo arusha wawagawie hao Act wajisitiri kwa muda?
Mgogoro wa usaliti?Mgogoro ni sehemu ya maendeleo. Fanyeni Nazi ACT
[emoji23] kweli mkuu.hahaaaa mkuuu unanivunja mbavu.
MCC fc haihitaji washabiki dizain wa act maana wananunulika kirahisi
Kwa hiyo unataka kusema vyama vyote vichanga ni toilet paper vinatumika alafu ccm wakimaliza kazi wana flash?Sio jambo la ajabu kwa chama kichanga km hiki
Ndio ccm walikua wanawatumia sasa[emoji23] kweli mkuu.
Ndege wafananao huruka pamojaTawi la ccm limefungwa
Ofisi nyingi za ccm Arusha sasa ni magofu nadhani wafikirie kuwapa hata ACT wajihifadhiKwani hakuna fremu zinazomilikiwa na Ccm hapo arusha wawagawie hao Act wajisitiri kwa muda?
Walikula ya mbuzi wakaota mapembe sasa wamenyolewaOfisi za ACT Arusha, ziko mkabala na ofisi za wafadhili wao CCM kata ya Levolosi, nadhani waliambiana.
Umbea na Majungu ni yapi hayo? Ukiva nyeusi watu waseme ninyeupe?Jambo usilolijua ni kama usiku wa giza. Na nasikitika zaidi kwamba jukwaa hili tuliloliheshimu kuwa ni "home of great thinkers" limekuwa kijiwe cha umbea na majungu.